Chagonja na sinema ya mwaka!

Chagonja na sinema ya mwaka!

Ukiangalia mambo yanavyopelekwa utagundua kuwa story za amboni na temeke kwa saidi maarufu kwa kuuza mishikaki utagundua zililenga kuficha na kuhamisha mawazo ya watz kwenye uteuzi mbovu wa wakuu wa wilaya.

Amboni hadi leo haieleweki ni nini kilitokea, mishikaki ya paka hainiingii akilini eti saidi alitundika paka huku akiwa ametolewa ngozi na kichwa chake kikiwa wazi, akatundika vile kama ilivyo kwenye picha na pembeni kuna mishikaki hadharani kama vile. Hawa jamaa wanaonekana wako mitaani wanafanya uchinga na show za hapa na pale, minenguo ya ajabu, wanaonekana club chupiless, kama tu tyre za magari zilivyo tubeless mjue nao ni sehemu ya TISS.

Inatia shaka sana story hizi muda huu ambao serikali inabadili maDC kibao na kuweka takataka kibao, eti watz wote siku hizi ni warembo kwa maana ya wadada na wamama hivyo orodha ya MaDC ikiwa na warembo tupu ni reflection ya watz tulivyo.

Nawasilisha
 
Nafikiri hawa usalama wa Taifa wanapata ushauri kutoka usalama wa taifa wa Israel,Waisrael ndio wenye mchezo kama huo wanajiripua wenyewe ili dunia iwaonee huruma dunia iwe upande wao,Kashifa kama hiyo umeshatokea UK wakati walipotaka kuripua ubalazo wao wenyewe.....
 
Nafikiri hawa usalama wa Taifa wanapata ushauri kutoka usalama wa taifa wa Israel,Waisrael ndio wenye mchezo kama huo wanajiripua wenyewe ili dunia iwaonee huruma dunia iwe upande wao,Kashifa kama hiyo umeshatokea UK wakati walipotaka kuripua ubalazo wao wenyewe.....

Waisrael wanajilipua alafu wa Palestina wanathibitisha wamehusika na mlipuko
 
Wakuu Shwari? Nilitaka kujua ile bongo movie ya kule mapango ya AMBONI TANGA ilishaishaje? Star alidedi au?
 
Tunaandaa episode number 3 toune kama italipa maana zilizotangulia zimebuma.
 
Wadau naomba kujuzwa hivi ile 'muvi' iliyokuwa ikichezwa kule Tanga kwenye mapango ya Amboni ndio imeisha kabisa kabisa au kuna part two?nauliza hivi jamani kwa kuwa tangu muvi ilipochezwa imekuwa kimya as if hakuna kilichotokea...!!
 
Wadau naomba kujuzwa hivi ile 'muvi' iliyokuwa ikichezwa kule Tanga kwenye mapango ya Amboni ndio imeisha kabisa kabisa au kuna part two?nauliza hivi jamani kwa kuwa tangu muvi ilipochezwa imekuwa kimya as if hakuna kilichotokea...!!

Mpigie simu kova ndo atakujuza zaidi then tuletee mrejesho hapa.
 
Wadau naomba kujuzwa hivi ile 'muvi' iliyokuwa ikichezwa kule Tanga kwenye mapango ya Amboni ndio imeisha kabisa kabisa au kuna part two?nauliza hivi jamani kwa kuwa tangu muvi ilipochezwa imekuwa kimya as if hakuna kilichotokea...!!

Tatizo aliyeandika script alikosea kutompa Kova nafasi ya kucheza humu akajikuta kampa chagonja kua director lazima ingeishia njiani tu.
 
Tatizo aliyeandika script alikosea kutompa Kova nafasi ya kucheza humu akajikuta kampa chagonja kua director lazima ingeishia njiani tu.

Ooooh kumbe matatizo ya kiufundi?pengine angepewa huyo mtaalamu wa kuzua mambo muvi lingeendelea eeeh?dah hii nchi kiboko!
 
Hapo anayesubiriwa ni kova ili aiendeleze ila watabadilisha location ili ionekane ni mpya.

Hahahahahahahahahahahahaaaa.....sawa mkuu tusubiri tujionee tu haya maigizo,natumai kabla ya uchaguzi mkuu hii part two itakuwa imeshatoka!
 
Back
Top Bottom