Chagonja na sinema ya mwaka!

Chagonja na sinema ya mwaka!

Chagonja Vs Tossi. Tossi ndio mkuu wa operation kweli kweli. Hayo ya Amboni yangekuwa ya kweli, Tossi angekuwa huko anafanya kazi mwenyewe kama alivyo wafanyia majambazi wakimbizi wakati ule. Chagonja anakoroma tu kwenye Tv.
 
Nakupongeza kwani umejibu kwa busara, lakini busara yako haitalisaidia taifa letu kwani wewe ni mmoja wapo ya watu ambao hata mambo yakiharibika huwa mnasema usibishane na serekali. Inakuwa kama serekali ni sehemu ambayo hata ikifanya kosa basi hupaswi kuionya. Na huwa najisikia vibaya sana ninapokutana na mtu anayekwepa wajibu wake kwa serekali tena kwa kutumia majibu ya busara kama yako. Watu kama nyinyi ndi mmechangia nchi yetu kuendeshwa kitapeli na kiujanjaujanja eti kisa ni serekali imeamua. Jitambue ndugu serekali ni wewe na unao wajibu mkubwa kuliko kuweka busara mahali unaona kodi zetu zinapotea bure. Hivi kama kweli sio unayechangia serekali kufanya ipendavyo, imegundulika walioko kule sio magaidi bali ni vibaka tu kama vibaka wengine kwanini itumike nguvu kubwa vile wakati zingeweza kwenda gari zisizozidi 3, yale mavx siku hizi yamekuwa magari yakivita? Unakwenda kupambana na gaidi ukiwa kwenye kiyoyozi!! Ndugu yangu jisikie aibu kutetea mambo yasiyo na tija. Ni kweli wewe umejaribu kuchomoka kwenye tundu la kusema ni ushabiki nakubaliana na wewe kabisa. Hivi si umesikia kuna hela zilichukuliwa kule stanbic kinyume na utaratibu? Ni madifender na mavx mangapi yamekwenda kujua hayo majina achia mbali hata kurudisha hizo hela. Unapoamua kuonyesha unatumia busara huoni kama umekuja kupotosha zaidi. Naomba dhamira yako ikusute kama wewe ni mkweli. Samahani kwa kukukwaza ndugu yangu. Ila tafakari na simamia ukweli.

Bado niko pamoja sana na wewe. Ni bahati mbaya pia kwamba, hatujuani physically. Ungeelewa harakati na viguvigu ninazozifanya ktk taasisi na jamii yangu kwa ujumla.

Huwezi kuzuia mafuriko kwa kutandika madebe. Wakati utafika ambapo Mtanzania atahitaji B badala ya A. Hiyo haina maana ya UKAWA badala ya CCM. Bali uwajibikaji,usawa na hakhi zaidi BADALA ya uhafidhina ,ufisadi uliokithiri(maana huwezi kukomesha kabisa ufisadi!!), na siasa safi.

Tutafikaje huko? It begines with you. Not with Slaa,Lipumba, Pinda or whoever be there.

Anza na kuikana nafsi yako,tutafika.

Thnx!
 
maneno hayo aliyasema baada tuu yakukabidhiwa sanduku lekundu lilojaa mafwedha, na wewe ukawa ndio msabazaji wa taarifa ulipotea kidogo baada ya kutoka kwenye pay roll ya Lumumba karibu

Yamekuwa hayo tena mkuu?!!

Sometimes nivyema ujijengee utaratibu au falsafa yakuupokea na kuukubali ukwel.Ni kweli si rahisi. Lakini uww unapiga moyo konde.

Hope imekubamba vilivyo hiyo dozi.
 
Hakuna anayengoja majibu labda wewe na co Lumumba product wote tunajua mchezo wa CCM umefika kikomo manake kila mtu anawajua uchaguzi ukikaribia wanakuja na mbinu za kuwatisha wananchi history lives kwa sasa wawadanganye wake zao, waume zao na wana wao sio watanzania kuchele kumekucha hakuna mamburulazi


Daily, hizi ndizo huwa kauli za vyama vya mlengo ulioko tofauti na chama Tawala.

Jambo kubwa ni kwa UKAWA au vyama pinzani kuhimiza juu ya matendo ya uzalendo na Maadili. Sio kupinga na kutimua wazalendo na wenye maadili ndani ya Vyama vyao(mfano. ZITTO).

Yaan systems za wapinzani nazo zinataka kutetea na kulinda UFISADI na Upumbafu kama hivihivi wanavyoganya baadhi ya viongiz wa CCM wasio na maadili.

Rejea press-conference ya ZITTO kipindi cha mnyukano nao.

With this, Tanzanians will never ever trust the UKAWAs.

Thnx!
 
Embu acha siasa kwenye maswala serious kama usalama Wa nchi..
Kama ki2 hukijui no bora unyamaze
 
Mi nafikiri, ni serikali ipo katika mazoezi kwa ajili ya kufanya ulinzi wakufa mtu mwezi Oktoba, kwani mara nyingi maelezo ya kipolisi huwa kuna walakini sana, mbona wanajisifu kuwa wana intelejensia ya hali ya juu katika kugundua magaidi kwenye mikutano ya upinzani? Mbona hawaoneshi kama Jeshi lilisalenda au magaidi wamekamatwa?
 
Teh! mara ooh CHACHA WANGWE aliuawa na CDM?(naona hili ulilisahau Mkuu).

Lakini naamini hata kama si ktk matukio yote hayo, lakini kuna baadhi kabisa CDM imejihusisha nayo. Be it directly or indirectly.

Habari ya CDM kumuua Wangwe imekuja kutanabaishwa na Z.KABWE.

"Mlimuua Chacha Wangwe, mimi hamtaniweza"-Z.KABWE akiwaeleza CDM. Sasa sijui huyo naye ni CHAGONJA au aje!

Embu tuwekane sawa hapa aliyekuwa waziri enzi hizo Moringe Sokoine, Kolimba, unaweza toa majibu ya pasna shaka vifo vyao ni vya kupangwa au vya kumsingizia Mungu, Amina chifupa je acheni hizo .
 
Embu acha siasa kwenye maswala serious kama usalama Wa nchi..
Kama ki2 hukijui no bora unyamaze
Ondoa upuuzi,usalama wanchi haulindwi kwa mbwembe na vitisho vyakipumbavu.Huko uliko unaishi dunia ya miaka ipi?
 
Unajivamia, unajiteka, unajitorosha, unajisaka na hatimaye unatangaza kujitafuta kwa udi na uvumba. Matukio yote haya haya hayana majina ya waathirika.

Kweli siasa zimefikia mahala pake! Tutashuhudia mengi 2015.

Askari polisi waliouawa kituo cha polisi huko Rufiji, tulioneshwa walivozikwa kishujaa. Huyu mjeda mbona kazikwa kimya kimya?
 
Si kweli mkuu.

Kwamba kikundi kiundwe na Serikali kwa dhumuni la kuzuru na kuuwa Polisi & Wanajeshi?

Tuache "poor assumptions" jamani. Mwisho wa siku ni mimi na wewe ndio tutakaoteteleka in case tukibeza na kuchangia kuliangusha jeshi lisifanye kazi yake.

Nina ushahidi wa mahala fulani huku kwetu. Watu wamewanyima ushirikiano Polisi kuchunguza mauaji fulani kisa tu eti ni PoliCCM.

Let's go. Itafahamika tu.
Madhara kama hayo ya watu kukataa kutoa ushirikiano kwa polisi, mie na wewe tunakubaliana kuwa ni jambo la hatari lakini tunatofautiana ktk suala la nani anawajibika kwa hilo na jinsi ya kulitatua. Mie naamini anayetakiwa kubeba lawama ni ccm kwasababu wao ndio wamekuwa wanavunja katiba kwa kulitumia vibaya polisi na wameparalyse system kiasi kwamba wao wanaweza kufanya lolote na system isiwadhibiti, hii tabia wameifanya muda mrefu mpaka imeanza kutupeleka sehemu mbaya. Na kwasasa anayeweza kututoa hapa tulipo ni ccm wenyewe wakubali sheria zifuatwe na kila mtu awajibike inavyotakiwa bila kujali kama ni mwanaccm au la. Na polisi waoneshe utendaji wa haki na usawa, kinyume cha hapo nchi itafikia mahali ambapo hata Congo kuna afadhali. Kwa upande wako wewe unataka tusympathise na vyombo vya ulinzi na tufanye kazi ya kulaani tu bila kuaddress mzizi wa tatizo ambao ni ccm, Hapo ndipo sasa hatuwezi kukubaliana hata kama amani inaanza kulegalega. Dawa ni kumtwisha lawama na ikiwezekana kumuwajibisha anayehusika na sio kupiga chenga na kufumbia macho uozo kama enzi za zidumu fikra za mwenyekiti. Nashindwa kuelewa kwanini huoni uwezekano wa baadhi ya watu kuweza kuwatoa kafara hata polisi na wanajeshi wakati ni hao hao walioweza hata kutengeneza visu na kuipakazia CUF huku wakijua athari zake zinaweza kujenga ufa utakaokuja kuua mamilioni ya watz, Kama wanaweza kuigawa jamii kwa misingi ya wakristu na chama chao na waislam na chama chao, wanashindwaje kuwatoa kafara polisi na wanajeshi wawili watatu ili mradi wabaki madarakani?
Tuassume mpango sio wa ccm, je mkurugenzi wa usalama wa taifa anasubiri nini ofisini? manaake TISS walishindwa kutambua hicho kikundi mapema, ni kwanini nchi iwe inachukua hatua kila matukio yanapotokea? na kama ni hivyo tunaishi kwa matukio kuna haja gani ya kuwa na TISS? Ukumbuke kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya viongozi wa serikali kutowajibika na maslahi ya ccm, hawa viongozi wengi wanafanya mambo kinyume cha sheria na taratibu kwa presha ya vigogo walioko ccm na ndio maana ni ngumu hata kuwawajibisha. Wazalendo wachache wanaosimamia maslahi ya nchi hujikuta hatarini sana, fuatilia trend ya mawaziri wa fedha na magavana kuanzia mwaka 1985 jiulize wako wapi na kwanini na waliopo bado wafuatilie ni watu wa aina gani.
 
Duh, kuna mtu humu anajiita TuntemekeSanga! Kwa kweli haifanyii haki hilo jina...Tumeshuhudia serikali za mataifa dunia nzima zikipambana na ugaidi na hata jana tu Sweden nchi ambayo miaka yote ilikuwa shwari magaidi wamejitokeza. Ni wajibu wa serikali kuwafahamisha wananchi wake kila hatua wanayochukua katika mapambano dhidi ya magaidi ili kurudisha imani kwamba vyombo vya usalama na ulinzi viko imara na vinafanya kweli.

Akiuawa hata gaidi moja ni jambo kubwa la kupongezwa...ni breaking news na picha yake inaoneshwa. Akiuawa mwana usalama moja ni jambo kubwa la kusikitisha na katika vyombo vyote vya habari ni breaking news kwenye redio na runinga na front page kwenye magazeti. Waandishi wa habari wana jukumu la kufuatilia na kuripoti hatua zote zinazochukuliwa na serikali kuyakabili hao magaidi...wananchi wana haki ya kupata habari kuhusu kinachoendelea.

Hii ya Tanzania haijawahi kutokea popote pale labda nchi ya kusadikika. Hata kwa majirani zetu Kenya, dunia ilijua kinachoendelea serikali ilipokuwa ikipambana na magaidi. Hii ya Tanzania ni usanii wa kipumbavu na wa kitoto na mtu yeyote mwenye akili timamu anayeunga mkono kauli ya serikali kwa huu ujinga unaotendeka ameshupaa. Namkumbuka msemaji wa Polisi, Advera Senso na tamko lake kuhusu kulipuliwa kwa mwandishi wa habari Mwangosi.

Tuliambiwa kuwa kuna bomu lililotupwa kwa mkono kutoka kwa wafuasi wa Chadema na kuwa waliohusika wamekamatwa wakiwa njiani kuelekea Mbeya. Kama si ushahidi wa picha hadi leo kuna viongozi wa Chadema bado wangekuwa wanaozea selo. Hii serikali kweli kwa sasa imezidi uhuni. Sitamsahau mnadhimu wa JWTZ, Abdulrahman Shimbo huku akizungukwa na maafisa wa juu wa Polisi na TISS akitoa kauli ya vitisho kwa wananchi mwaka 2010...
....kweli Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo!
 
Duh, kuna mtu humu anajiita TuntemekeSanga! Kwa kweli haifanyii haki hilo jina...Tumeshuhudia serikali za mataifa dunia nzima zikipambana na ugaidi na hata jana tu Sweden nchi ambayo miaka yote ilikuwa shwari magaidi wamejitokeza. Ni wajibu wa serikali kuwafahamisha wananchi wake kila hatua wanayochukua katika mapambano dhidi ya magaidi ili kurudisha imani kwamba vyombo vya usalama na ulinzi viko imara na vinafanya kweli.

Akiuawa hata gaidi moja ni jambo kubwa la kupongezwa...ni breaking news na picha yake inaoneshwa. Akiuawa mwana usalama moja ni jambo kubwa la kusikitisha na katika vyombo vyote vya habari ni breaking news kwenye redio na runinga na front page kwenye magazeti. Waandishi wa habari wana jukumu la kufuatilia na kuripoti hatua zote zinazochukuliwa na serikali kuyakabili hao magaidi...wananchi wana haki ya kupata habari kuhusu kinachoendelea.

Hii ya Tanzania haijawahi kutokea popote pale labda nchi ya kusadikika. Hata kwa majirani zetu Kenya, dunia ilijua kinachoendelea serikali ilipokuwa ikipambana na magaidi. Hii ya Tanzania ni usanii wa kipumbavu na wa kitoto na mtu yeyote mwenye akili timamu anayeunga mkono kauli ya serikali kwa huu ujinga unaotendeka ameshupaa. Namkumbuka msemaji wa Polisi, Advera Senso na tamko lake kuhusu kulipuliwa kwa mwandishi wa habari Mwangosi.

Tuliambiwa kuwa kuna bomu lililotupwa kwa mkono kutoka kwa wafuasi wa Chadema na kuwa waliohusika wamekamatwa wakiwa njiani kuelekea Mbeya. Kama si ushahidi wa picha hadi leo kuna viongozi wa Chadema bado wangekuwa wanaozea selo. Hii serikali kweli kwa sasa imezidi uhuni. Sitamsahau mnadhimu wa JWTZ, Abdulrahman Shimbo huku akizungukwa na maafisa wa juu wa Polisi na TISS akitoa kauli ya vitisho kwa wananchi mwaka 2010...
....kweli Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo!

"Tanzania ni zaid ya tuijuavyo"...Kwamba sasa tusiseme lolote au?

By the way,nimekusoma vizur tu. Shida kubwa ni kwa nini picha za polisi walojeruhiwa na JW alouawa hazijawekwa bayana. Naku aliana na wewe kuwa hii si nzuri na inaweza ikazalisha hari ya sintofahamu ktk zama hizi za TEKNOHAMA. Ila, tumeelekezwa hadi kijiji alichoenda kuzikwa Shujaa huyo. Sidhani sasa kama itakuwa ni usanij tena maana wanakijiji wapo na wanaweza toa ushahidi(tofauti na kaburi la Balali)

Lakini,jambo kubwa na lakuhimizana hapa nikutofanya masihara na kubeza habari hizi ambazo ni hatari of course. Kwangu mimi ni sawa na kupuuza habari ya Mungu na Mbingu halafu unfortunately ukaenda kukumbana navyo huko.

Tuache siasa badala yake tujikite ktk kutafuta ukweli na kuchukua tahadhari stahiki juu ya jambo hili. Sio kuingiza uCCM na uCHADEMA.
 
"Tanzania ni zaid ya tuijuavyo"...Kwamba sasa tusiseme lolote au?

By the way,nimekusoma vizur tu. Shida kubwa ni kwa nini picha za polisi walojeruhiwa na JW alouawa hazijawekwa bayana. Naku aliana na wewe kuwa hii si nzuri na inaweza ikazalisha hari ya sintofahamu ktk zama hizi za TEKNOHAMA. Ila, tumeelekezwa hadi kijiji alichoenda kuzikwa Shujaa huyo. Sidhani sasa kama itakuwa ni usanij tena maana wanakijiji wapo na wanaweza toa ushahidi(tofauti na kaburi la Balali)

Lakini,jambo kubwa na lakuhimizana hapa nikutofanya masihara na kubeza habari hizi ambazo ni hatari of course. Kwangu mimi ni sawa na kupuuza habari ya Mungu na Mbingu halafu unfortunately ukaenda kukumbana navyo huko.

Tuache siasa badala yake tujikite ktk kutafuta ukweli na kuchukua tahadhari stahiki juu ya jambo hili. Sio kuingiza uCCM na uCHADEMA.
TuntemekeSanga, je umeiona hii picha? Hii picha kwa sasa ndio inatumika kuonesha mapambano ya Amboni dhidi ya magaidi wa kuchonga. Hebu soma maelezo yaliyoambatana na hiyo picha halafu uangalie ni lini hii picha ilipigwa.

542494783.JPG


Madaktari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiangalia maiti iliyoletwa ili kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dar es salaam jana, Serikali imeagiza madaktari wa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama kuhudumia wagonjwa ili kuziba pengo la madaktari waliogoma

Source: Category: Photos - wavuti.weebly.com

Kwa ufahamisho tu ni kwamba hii picha ilipigwa mwaka 2012 wakati wa mgomo wa madaktari kabla ya kutekwa kwa Dr. Stephen Ulimboka na msemaji wa polisi kudai kukamatwa mtu akihusishwa na utekaji huo...mtu huyo ambaye alikuwa ni mgonjwa wa akili kutoka Kenya alifunguliwa kesi lakini baada ya kuswekwa ndani kwa muda mrefu alikuja kuachiwa huru na mahakama na huo ndio ukawa mwisho wa uchunguzi. Tafakari sana TuntemekeSanga.
 
Last edited by a moderator:
"Tanzania ni zaid ya tuijuavyo"...Kwamba sasa tusiseme lolote au?

By the way,nimekusoma vizur tu. Shida kubwa ni kwa nini picha za polisi walojeruhiwa na JW alouawa hazijawekwa bayana. Naku aliana na wewe kuwa hii si nzuri na inaweza ikazalisha hari ya sintofahamu ktk zama hizi za TEKNOHAMA. Ila, tumeelekezwa hadi kijiji alichoenda kuzikwa Shujaa huyo. Sidhani sasa kama itakuwa ni usanij tena maana wanakijiji wapo na wanaweza toa ushahidi(tofauti na kaburi la Balali)

Lakini,jambo kubwa na lakuhimizana hapa nikutofanya masihara na kubeza habari hizi ambazo ni hatari of course. Kwangu mimi ni sawa na kupuuza habari ya Mungu na Mbingu halafu unfortunately ukaenda kukumbana navyo huko.

Tuache siasa badala yake tujikite ktk kutafuta ukweli na kuchukua tahadhari stahiki juu ya jambo hili. Sio kuingiza uCCM na uCHADEMA.

Mkuu katika hali ya kawaida habari ni muhimu sana kuondoa sintofahamu kwenye jamii, kwanini serikali inaficha taharifa hizi wakati nyingine za aina hiyo zinawekwa wazi? Huyo unayemsema kuwa kazikwa kijiji furani una uhakika gani kuwa alikufa kwenye mapigano na sio ugonjwa mwingine au aina nyingine ya kifo? Kwanini hawataki waandishi wa habari kuongea na majeruhi? Majeruhi wapo au hawapo? Jeshi letu ni dhaifu kiasi gani kwamba wameuawa na kujeruhiwa lakini wameshindwa kuua au kujeruhi mhuni mmoja? Zana nyingi za kivita zimebebwa namna gani? hawa wahuni wana magari ya deraya ili kubebea hizo siraha? Kwanini hatujaonyeshwa hata siraha moja iliyokamatwa? Mkuu maswali ni mengi kuliko majibu! Naamini tukio lilikuwepo lakini inawezekana lilipangwa au jamaa walikuwa na mazoezi ya kawaida tu.

Vinginvyo utafanya niamini kuwa hii nchi sio salama kabisa maana haiwezekani wahuni wale wapotee bila kukamatwa au kuuawa hata mmoja. Kikosi cha jeshi 200 kishindwe hata kukamata wajibu ambao kwa maelezo ya viongozi wa jeshi hata 50 hawafiki! Ujinga kabisa
 
katika miaka ya hivi karbun kumekuwa na wimbi kubwa la uandaaj wa filamu za kisiasa,kwangu film ya mahakama ya kadhi na mapigano ya ambon huko tanga ni film ambazo uandaaj wake kwa upande wa script,director,na production tote kwa ujumla haikuwa nzur hivyo kushindwa kufanya vizur sokoni,najua story in nzur tena zenye kuvutia ila kwa vipengele tajwa hapo juu zitapoteza gharama nyingi bila kupata profit ya maana,sirikal muwe mnaangalia jinsi ya kuandaa film vizur hata wahusika wataotumika wajitahit kufit position zao vizu,mi nimekumbuka hiz 2 za hiv karbun.ww unakumbuka zipi?
 
Panya road,uvamizi wa vituo vya police,kikombe cha babu loliondo,homa ya dengue, hizi filamu zote zime hit kwa muda mfupi sana kupotea sokoni
 
filam nyingine ni ile ya mkutano wa chadema arusha waliojilipua mabomu na kudai eti polisi waliwalipua
 
Back
Top Bottom