Kila kabila la Tanganyika likiwa na day yao kutakuwa na mtu anafanya kazi? WanaJf kataeni ukabila.
Kilasara, sasa makabila mengine mkianzisha mtakuwa mnaiga, kwa wachagga hii kitu iko siku nyingi sana nazungumzia miaka ya Arobaini na kitu huko, sishauri makabila mengine yaanzishe hiyo its special 4 chaggaz
Jamani nani anajua Chagga day iko lini na inafanyika wapi 2011? tafadhali tuungane kwenye hili