Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni yake binafsi pamoja na watu wanaomshawishi au kumtuma.
Chama hicho kimefafanua kuwa Said Mohamed hana nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama na kwamba kauli zake hazina uhalali, hivyo wananchi wanapaswa kupuuza taarifa hizo zinazodaiwa kupotosha umma.
Soma Tumekuwa kimya kwa sababu tukizungumza tutaivua nguo CHADEMA
Chama hicho kimefafanua kuwa Said Mohamed hana nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama na kwamba kauli zake hazina uhalali, hivyo wananchi wanapaswa kupuuza taarifa hizo zinazodaiwa kupotosha umma.