said issa mohamed

The Port Said Stadium riot was a riot which occurred at Port Said Stadium in Port Said, Egypt on 1 February 2012, following an Egyptian Premier League football match between Al Masry and Al Ahly. Seventy-four people were killed and more than 500 injured after thousands of Al Masry fans invaded the pitch following a 3–1 victory by their club. Al Ahly fans were attacked using clubs, stones, machetes, knives, bottles, and fireworks, trapping them inside the Al Ahly partition of the stadium. Many of the deaths were due to police refusal to open the stadium gates, trapping fans inside and causing a stampede. Civil unrest and clashes with police erupted in several major cities, such as Cairo, Alexandria, and Suez, in response to police's handling of the riot.
Seventy-three defendants, including nine police officers and two officials from Port Said's Al-Masry club, were charged in the aftermath of the riots. As of 15 November 2015, 26 defendants were acquitted, including seven police officers and an Al-Masry club official. Of the 47 convicted, 11 were sentenced to death, ten received 15-year prison terms, nine received 10-year sentences, sixteen received 5-year sentences, including two police officers and an Al-Masry club official, and one received a 1-year sentence. The Court of Cassation upheld the sentences on 20 February 2017.
As a result of the riot, the Egyptian government shut down the domestic league for two years, which affected the Egyptian national team.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aishitaki tena Chadema. Anataka izuiwe kufanya siasa

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefungua shauri la kiraia namba 13832 la mwaka 2026 lililofunguliwa na Said Issa Mohammed na Ahmed Rashid Khamis dhidi ya wadhamini waliosajiliwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na Katibu Mkuu wa chama hicho. Kwa mujibu wa...
  2. DR Mambo Jambo

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa kumfukuza Said Issa Mohamed ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba yao CHADEMA

    JMT! Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali.. hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pemba kinaujanisha umma na wanachama wake kuwa Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba iliketi katika kikao chake cha dharura tarehe 06 Juni 2026 katika Ukumbi wa Pride ya Zamani, Chake Chake, Pemba. Kikao hicho kiliongozwa na...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Mahakama yakataa Lissu kuunganishwa kwenye kesi ya mgawanyo wa mali za Chadema iliyofunguliwa na Said Issa Mohamed na wenzake

    Mahakama Masjala Ndogo ya Dar es salaam April 30, 2026 imekataa ombi la Tundu Lissu la kuunganishwa katika shauri namba 8323/2025 lililofunguliwa na Said Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chama pamoja na Katibu Mkuu wa Chama. Awali, baada ya Lissu kuwasilisha ombi hilo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Zanzibar watoa Tamko, Wasikitishwa na madai ya Said Issa Mohamed kuwa aliishtaki CHADEMA kwa niaba yao

    Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni yake binafsi pamoja na watu wanaomshawishi au kumtuma. Chama hicho kimefafanua kuwa Said Mohamed...
Back
Top Bottom