Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Kweli ukichokwa! Yaani CDM imezoa wanachama wapya zaidi ya 1000 Morogoro leo. Kwisha habari yao 2015 tunapata mbwa mwenye uwezo wa kumsukuma Kalumekenge aende shule.
Source: ITV
Source: ITV
Usiseme Morogoro sema katika chuo cha Mzumbe kilichopo Morogoro
kwani chuo cha mzumbe kiko wapi? iwe mzumbe au wapi lkn ni morogoro, mi nadhni yuko sahihiUsiseme Morogoro sema katika chuo cha Mzumbe kilichopo Morogoro
Alienda kufanya nini huyo babu wa watu si angekaa tu nyumbani aendelee kula mafao yake,ona kaenda kupata aibu ya mwaka huyo mzee wa watu.Hilo liwe fundisho kwa wanamagamba wote kuwa hawaiwezi Chadema na namna yoyote.jana jumapili kingunge alienda mzumbe hali aliyokutana nayo hakuamini kwani alilazimika kuahirisha mkutano baada ya kukosa watu. amewalaumu sana wakufunzi mzumbe.
kwa mtindo huu kufikia 2014 mwishoni chadema itakuwa na wanachama hai karibia milioni 20.
Kweli ukichokwa! Yaani CDM imezoa wanachama wapya zaidi ya 1000 Morogoro leo. Kwisha habari yao 2015 tunapata mbwa mwenye uwezo wa kumsukuma Kalumekenge aende shule.
Source: ITV
Siyo hivyo mkuu, ni kweli Mzumbe iko Morogoro lakini kwa hoja iliyopo hapa ingefaa zaidi akisema Mzumbe. Main theme ya ujumbe wake ilikuwa kuelezea idadi ya watu waliojiunga na Chadema, sasa ukisema watu 1000 wajiunga na Chadema Morogoro haina uzito. watu 1000 ni wachache sana kwa population ya mkoa wa Morogoro! lakini watu 1000 kwa population ya Mzumbe ni wengi sana. Mzumbe ni Morogoro lakini Siyo Morogoro yote ni Mzumbe.kwani chuo cha mzumbe kiko wapi? iwe mzumbe au wapi lkn ni morogoro, mi nadhni yuko sahihi