Source:Tanzania Daima
nitatizo,janga la tasinia ya habari
Ht ww mwenyewe unaipenda ccm kimoyomoyo ila unawazuga hao wamwagia watu na tindikali. Walisha watu sumu
Tatizo chombo cha habari au habari yenyewe? Tungekuelewa kama ungekanusha habari lakini kama habari ni ya kweli tatizo ni nini.Source:Tanzania Daima
nitatizo,janga la tasinia ya habari
Nguvu ya umma
nadhani ni nguvu ya umafia na kumwagia watu tindikali na kulipua mabomu.
Ndio maana wanajaa kwenye mikutano, waTanzania wajinga sana wanakipendea nini hiki chama cha wauaji? Wanamuachia ccm Mwigulu peke yake
.....Fursa gani unaongelea, za kumsaidia Azzan kuuza unga au kumsaidia Kinana kuua tembo?Hoja za CHADEMA siku zote hazibadiliki kuanzia mwenyekiti wao hadi wapambe wao walioko humu Jf na hata wale wanaojidanganya kuwa kero zao zitaondolewa na mtu mwingine au chama fulani badala ya kufanykazi kwa bidii kwa kutumia fursa zilizopo.
Je kwa kuhamia CDM ndio hizo kero zitaondoka?
Au kwa kuhamia CDM wataziondoa vp hizo kero?
Je CCM wakiziondoa hizo kero watabaki CDM au watarudi CCM?
Tunapopokea wanachama kutoka chama kingine wanaokuja na sababu rukuki za kukashfu chama wanachotoka mimi huwa nawaona ni kama wanamuziki wanaohama Band moja kwenda Band nyingine maana huwa wanasema sababu kibao za kuziponda Band wanazotoka mara wanarudi kule kule wengine tena kwa mbwembwe wakisema nyumbani ni nyumbani
Muwe makini na wanachama mnaowapokea kwenye vyama vyenu
Kwa kauli hii umekubali
kuwa ccm haiwezi kuondoa kero za wananchi!au siyo?kwa hiyo basi waambie
wananchi popote kuwa wasipoteze muda kushabikia ccm ila wafanye
kazi,chadema wanasema watasimamia vyema rasilimali za nchi ili
kuhakikisha kuwa zinawanufaisha wananchi wote,pamoja na kupambana na
ufisadi unaofanywa na viongozi wa ccm,huku wakisisitiza umuhimu wa kila
mmoja kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo!!hawa si wapo
sahihi kabisa mkuu?huwa napenda unavyoweza kuwa mkweli sometime.
Je kwa kuhamia CDM ndio hizo kero zitaondoka?
Au kwa kuhamia CDM wataziondoa vp hizo kero?
Je CCM wakiziondoa hizo kero watabaki CDM au watarudi CCM?
Tunapopokea wanachama kutoka chama kingine wanaokuja na sababu rukuki za kukashfu chama wanachotoka mimi huwa nawaona ni kama wanamuziki wanaohama Band moja kwenda Band nyingine maana huwa wanasema sababu kibao za kuziponda Band wanazotoka mara wanarudi kule kule wengine tena kwa mbwembwe wakisema nyumbani ni nyumbani
Muwe makini na wanachama mnaowapokea kwenye vyama vyenu
220 kijijini, 71 wilaya?? Uongo mwingine bwana hata mtoto mdogo anautambua mapeeema.
hivi chadema tanga inamajimbo mangapi,naomba nikumbushwe tafadhali.