CHADEMA Yazizima TANGA

CHADEMA Yazizima TANGA

Hoja za CHADEMA siku zote hazibadiliki kuanzia mwenyekiti wao hadi wapambe wao walioko humu Jf na hata wale wanaojidanganya kuwa kero zao zitaondolewa na mtu mwingine au chama fulani badala ya kufanykazi kwa bidii kwa kutumia fursa zilizopo.


Hee mkuu thatha, kwani aliye tuahidi maisha bora kwa kila mtanzania kagota? bado twayasubilia atiiiii!
 
Tulia uchomwe sindano hata kama inauma wewe tulia tu nduguu, kwani hapo huna lolote zaidi ya wivu. VIVA CDM

Kiongozi unakosea unaposema nina wivu....ila kama hujikubali utaona nina wivu .....
 
Hoja za CHADEMA siku zote hazibadiliki kuanzia mwenyekiti wao hadi wapambe wao walioko humu Jf na hata wale wanaojidanganya kuwa kero zao zitaondolewa na mtu mwingine au chama fulani badala ya kufanykazi kwa bidii kwa kutumia fursa zilizopo.
Unaposema FURSA ZILIZOPO unamaanisha nini? Au umekariri kama maCCM wengi wanavyojua kyukalili Slogan za viongozi wao?
 
Back
Top Bottom