THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,827
- 15,167
Chadema ni kama maji usipokunywa utayaoga, sio bara sio Zanzibar TWENDE KAZI NGUVU YA UMMA.
yaani ukiongea tu hii lugha basi umefungua mioyo ya wazanzibar na wanakuwa wasikivu kweli kweli kama ndani yake itakua hakuna hidden agenda.Kanda hiyo na iwe chachu ya kuwapatia wazanzibar madaraka kamili juu ya nchi yao...
Tunaomba picha tuone nyomi basi mkuu
Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.
Tunaomba picha tuone nyomi basi mkuu
sifa gani amewamiminia?
Akitaka kuwajua chadema chumbani na sebureni ajaribu kuutaka urais au uenyekiti wa mbowe na slaa.
Hivi amezungumziaje swala la campaign ya gongo?
Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.
Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.
wanatapatapa, hawajui wafanyalo.
sipendi wanaume wasiokua na msimamo, yani wao ni bendera fuata upepo! wanaoabudu watuhahahahaha aiseee acha vichekesho.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA kimezindua rasmi kanda ya Zanzibar ya chama hicho.
Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Hamad Yusuf.Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Jamat Khan mjini Unguja.
Viongozi mbalimbali wa mikoa, wilaya,matawi na Makamanda wa chama hicho upande wa Zanzibar walihudhuria.Pia walikuwepo wabunge wa viti maalum Zanzibar.
Akizungumza katika uzinduzi huo Naibu Katibu Mkuu huyo aliwataka wanachama wa chama hicho kushikamana na kuzidi kuisimika Chadema Zanzibar.
Pia Kiongozi huyo aliwamiminia sifa viongozi wakuu wa chama hicho Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa kwa kazi kubwa wanayofanya huku akisema viongozi hao wamekuwa kama Nembo ya chama hicho.
Uzinduzi huu wa Kanda ya Zanzibar umefanyika baada ya kukamilika zinduzi za Kanda za Tanzania Bara.