CHADEMA Yazindua Kanda ya Zanzibar

Chadema ni kama maji usipokunywa utayaoga, sio bara sio Zanzibar TWENDE KAZI NGUVU YA UMMA.

Kusini mmekushindwa mtaweza Zenji!?. Babu yenu Slaa ashawaharibu na Gongo yake. Padre mzima anasupport Gongo!,MAJANGA.
 
Molemo tunasubiri picha mkuu.
jf haijazuia picha.
 
Last edited by a moderator:
Kanda hiyo na iwe chachu ya kuwapatia wazanzibar madaraka kamili juu ya nchi yao...
yaani ukiongea tu hii lugha basi umefungua mioyo ya wazanzibar na wanakuwa wasikivu kweli kweli kama ndani yake itakua hakuna hidden agenda.
 
"Ndugu zangu wanaccm ni lazima tujiandae kisaikolojia" Jk
 
sifa gani amewamiminia?
Akitaka kuwajua chadema chumbani na sebureni ajaribu kuutaka urais au uenyekiti wa mbowe na slaa.

Hivi amezungumziaje swala la campaign ya gongo?

Umemalizana na maji marefu?
 
Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.

Umeiona ile shule yenu ya Bagamoyo ambayo wanafunzi 12 wamefauru kwa miujiza! Basi nguvu yote kapeleke kule kuliko kujikaribisha ktk mambo yasiyo kuhusu!
 
CDM mwendo mdundo tu! aisee wajameni naiona nuru mpya NOV-2015!
 
Zanzibar kunakubalika vyama viwili tu navyo ni CUF na CCM hatutaki vyama vya wakristo lakini kupachika bendera zao hilo sio tatizo.
 

Kwani chadema mmeshaitambua Zanzibar kama ni nchi? Si mnampango wa kuvunja muungano! Ha!
 
Kazi kweli kweli mpaka 2015 tutaona vitu vingi sana,chadema inazidi kupanda juu Mungu yuko upade wetu kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…