OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
ni leo!!Uchaguzi ni lini jamani...
ni leo!!Uchaguzi ni lini jamani...
Barubaru wee mambo vipi? Usihofu kiongozi mie nshakusoma long time. Japokuwa uko ughaibuni huko unatamani sana kurudi bongo hasahasa Zenj alafu mara moja moja uwe unakuja bara kupumzika. Ili ufanikiwe hilo huna budi kuufagilia upande fulani kusudi utakapoibuka tu..........kuwa mimi ndiye DR..........au Barubaru...........hasa ukipitia kwa jussa..........lazima uulambe mkuu. Zamani nilikuwa naku attack .....lakini baada ya kukufuatilia nikaona uko ki-strategy zaidi. Inabidi kwa sasa useme kileee wanachotaka kusikia wazenj masikioni mwao hata kama kitawaangamiza baadae. Ukija Tanzania usisahau kuja Kagera nikupeleke uka mpe hi Mama Tibaijuka.........teheteheteheteheteheteeeeee
Narudia tena hila zenu za kusambaza vikaratasi vya kuchochea udini Uzini mmeshindwa.Kwanini CUF hamtaki siasa za kistaarabu? Hivi hujishangai mlipiga kampeni chafu za udini Igunga lakini CUF mlipata kura ngapi na CDM walipata ngapi? Kwa nini hamjifunzi? Cuf mna kampeni chafu dhidi ya CDM kuliko hata CCM kwa nini lakini Barubaru?
Maviiiiiiiiiiiii sasa umeongea nini watu wako zenj we unasema uchagga. Mwita yuko kule.........Mwampamba.........mgombea ni Ali Mbarouk Mshimba......mchaga nani hapo .........kwa reasoning yako wewe utakuwa na govi. Huku Biharamulo tulipo mbubge wetu CDM na kwenyewe ni wachagga.
Ahadi yangu ipo pale pale Chadema wakishinda uwakilishi jimbo la Uzini mie Ritz nitatembea bila nguo kutoka Posta mpaka Kimara Bonyokwa.
Nikifika Bonyokwa najipiga risasi za kichwa mpaka nife.
Na mamluki wewe umefanyaje? hivi kusema ukweli wanakulipa sh ngapi? ni pm basi siyo kila mtu ajue.
Ahali yangu usifike huko.
Kwani wao kushinda ni sawa na ngamia kupenye kwenye tundu ya sindano. Ila majigambo ni mengi sana hawafahamu JF sio kura bali ni fikra na wapambe tu.
Tufanye subra.
Ahali yangu usifike huko.
Kwani wao kushinda ni sawa na ngamia kupenye kwenye tundu ya sindano. Ila majigambo ni mengi sana hawafahamu JF sio kura bali ni fikra na wapambe tu.
Tufanye subra.
Muganyizi,
Hivi umeshawahi kumuona mtu anatema asali na kutamani pilipili? je unafikiri huyo atakuwa wa aina gani? mimi ni kinyume chake.
Nafikiri taarih 22 Feb mpaka 27 Feb 2012 nitakuwa Mwanza. Nitakuja fundisha kidogo pale BOT special course ya Islamic banking. Na bukoba siku zote nakuja kwani nina watoto wanne kutoka huko ninakaa nao na nimewasomesha kuanzia darsa la kwanza mpaka wote wamemaliza vyuo vikuu. ni watoto wa aliyekuwa dereva wangu marhum Willium Rweikiza , huyu ni mkiziba. watoto wake ninaoishi nao mpaka leo ni Kokushubila, Kemilembe, John na Willium(mushumbushi).
Usitie shaka nikija lazima unipatie nsenene.
Wakora kusiima
Ahali yangu usifike huko.
Kwani wao kushinda ni sawa na ngamia kupenye kwenye tundu ya sindano. Ila majigambo ni mengi sana hawafahamu JF sio kura bali ni fikra na wapambe tu.
Tufanye subra.
Hawa Chadema wa ajabu sana sana. Juzi juzi hapa tumemsikia Tundu Lissu bungeni akiwakashifu wazanzibari tena bila aibu wala nini. Leo ati wanajifanya watu wanawaelewa! Kitendo cha Lissu kuwakejeli Wazanzibar kitachukua muda sana kujirekebisha. Ni doa kubwa sana sana ukitilia maana kwamba wakipga kura wengi mijini, kama Temeke, Kigamboni, Ubungo na Gongolamboto ni watu wenye asili ya Zenj au Pemba.
Hivi huyu Mwita Waitara anajua anachoongea au na yeye analipukua tu kama Magamba?! Hivi anajua technology and cost ya kufanya DESALINATION of Ocean/sea water?
Ndiyo Zanzaibar imezungukwa na maji lakini yale ni maji ya chumvi. Hata nchi zilizoendelea kama Japan haithubutu kufanya desalination of ocean water for domestic use insteady wametafuta vyanzo vinginevyo vya kupata maji ambayo siyo ya chumvi.
Anataka kuwadanganya wana Uzini kwamba CDM ikipewa dola itaweza kufanya desalination of ocean water kuondoa tatizo la maji?
Ama kweli all politician are alike. Ujinga wa wana Siasa tuukate out right, vinginevyo hata sisi wasomi tutaonekana bogus!
naona makamanda wote waandamizi wamekimbia kuanzia padre na mbowe na wengine wamemwacha waitara na mwampamba.
Ok kufanya mikutano mingi sio kigezo cha ushindi. Kwani kikubwa kinachotakiwa na kukubalika kwa sera zenu na itikadi zenu.
Je chadema mnatosha znz kutokana na kauli zenu majukwaani na bungeni kuhusu znz na waznz?
Majibu ni kwenye kisanduku cha kura.
Tuvute subra.
ndio ushahidi wenyewe huo?
nakupa pole sana. Kwani siku zote mfa maji lazima atapetape.
Na waaarabu wanasema anayejitapa ni hamnazo. au waswahili wanasema debu tupu ...
Pole sana
kwani matamshi yao ni yapi zaidi ya kutaka muungano aidha uvunjwe uundwe upya kwa ridhaa ya watanganyika na wazanzibar, au urekebishwe ziwepo serikali tau, ambapo kuna mambo yatatambulika kuwa ya muungano lakini mambo mengine yazihusu nchi wanachama? Kama ndo haya, si na wazanzibari wanayahitaji? Si wanataka kuwa na timu yao ya taifa? Si wanataka kuwa na mipaka yao kama nchi? Si wanataka rais wao awe na nguvu pasipo kuingiliwa na maamuzi ya muungano?
Naamini wakichagua cdm, ndo kwanza wameanza harakati za kuelekea kutimiza ndoto hii ambyo wengi wanaihitaji
Dr Barubaru,
Famous one in sea the but they many others...the remedy of fire is fire
Ahali yangu usifike huko.
Kwani wao kushinda ni sawa na ngamia kupenye kwenye tundu ya sindano. Ila majigambo ni mengi sana hawafahamu JF sio kura bali ni fikra na wapambe tu.
Tufanye subra.
Pole Barubaru.Wazanzibar si wajinga tena