Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
.Pole Barubaru kosa lenu CUF ni kuolewa na CCM.Jimbo tayari limechukuliwa na CDM wananchi wameshaamua.Mtahangaika sana na propaganda za udini lakini Mungu yupo upande wa mwenye haki
Ndugu yangu acha hizo. Choyo na husda siku zote haifai kwa mwan'Adam.
nani anayeleta udini hapa and ndio kimbilio la chadema wakishikwa pabaya.
Au jipambanue kumwita Dr Slaa ni kosa? au ndio udini?
Soma CV yake utaona , ni miongoni mwa watu wachache sana Duniani walioweza kubarikiwa na kupata sakrament ya Upadrisho. au unamwonea gere kwa hilo? Mbona tunamwita Dr? na hapo huchukii.
Kumbuka kuwa huko Bungeni wapo akina Mchungaji Natse, Mchungaji Msigwa na Mch Rwekatare. utasema nao udini?
Funguka kiakili na tumia akili kufikiri kabla kunena.