CHADEMA yazidi kumeguka...!

Acha ubazazi .........kuwa na akili timamu...........achenu kupakaza matope kwa jambo ambalo hata mtu hajafanya.........
 
Juliana Shonza naomba nikuulize kaswali kadogo tu; kama kwa kutoka (kufukuzwa) kwenu Chadema, wewe na wasaliti wenzako mkiwa viongozi wa kitaifa, Chadema haikutetereka, iweje leo kutoka eti kwa katibu mwenezi wa kata Chadema itetereke?

Una maana ulikuwa unamkubali sana SHONZA, basi subiri 2015 utaona athari za SHONZA na MWAMPAMBA kutoka CHADEMA.
Utambue pia kuna mambo mengi sana ambayo pengine yametokea kwa sababu ya hawa vijana kuondoka CHADEMA.
1.Kugundulika kwa unyama wa WIFRED LWAKATARE
2. ZITTO kabwe kukosa morari ya kujihusisha na masuala ya chama
3. Nguvu ya CDM Ughaibuni kupungua kwa asilimia kubwa
4. matumizi ya nguvu na pesa nyingi sana katika uchaguzi mdogo katika mji wa arusha pamoja na kwamba CHADEMA walisema hata wangesimamisha jiwe na CCM lingeshindwa
5.CHADEMA kuwa na watu maalum wa kukabiliana na SHONZA na MWAMPAMBA kwenye mitandao ya kijamii na majukwaani
6.Tukio la JULIANA SHONZA kutaka kushambuliwa na watu walioaminika kuwa wafuasiwa CHADEMA kwa kisingizio cha ujambazi pale DODOMA.

Yapo mambo mengi ambayo kwa hamtaki kukubali kuwa hawa vijana wanawanyima usingizi na hayoni baadhi tu.
 
 
Safari inaendelea watabomoka sana mwaka huu mpaka tufike tuendako atabaki mtei,slaa na mbowe kwenye chama siyo vinginevyo.

mtaota sana ndoto za mchana mwaka huu.anatoka 1 wanakuja 100.shetani atatukoma 2015
 
Hahahaaaaa wanavhama million tano!!! Hawaongezeki wala hawapungui!!!!!
 
Hivi kumbe bado upo kwenye siasa, nilifikiri umetafuta kazi nyingine 'halali' ili kuendesha maisha yako ya kila siku baada ya wenye chama chao kusema hawaoni faida yoyote tangu uhamie sisiemu. Kila la heri!


 
Nimekugongea like mkuu
 
Julaina huna santuri ingine?
katibu wa kata ndio unasema pigo kubwa?
elimu yako mlimani nina mashaka kama ulifaulu bila kudesa au kufanyiwa UE
ni aibu kama UDSM inashindwa kuzalisha vijana wasiojua kutumia bongo zao..
upuuzi huu peleka kijiweni lakini sio ktk jukwaa kubwa kama hili,
CCM umeshachuja pole yako hata Mwigulu hakuona umuhimu wa kuongozana na wewe Marekani.
 
Hivi nyie vijana mnafikiri kuwa hamuwezi kuishi bila kuvua chup?... Wewe si una-degree, sasa kinachokufanya ushindwe kuishi bila kuvua chup ni nini?..
Kweli chadema ni shimo la matusi siamini kama haya maneno yanatoka kwenye kinywa cha binadamu kwa mwendo huu sijui kama yesu atakuja tena .
 
Sikuamini kama juliana anaweza kuwayumbisha kiasi hiki vijana wa bavicha wameshindwa kujadili mada na kuanza kutukana kama wagonjwa.
 
Huu ndo uwezekano mkubwa wa huyu mganga njaaa.......Tena mimba ya mwiguluneti


Mimba changa zinachanganya sana, hapo lazima atakuwa na hasira sana, si anajua Mwigu alivyo kicheche, lazima huko US atakuwa amewamega wake za magamba wenzake...
 
Kweli chadema ni shimo la matusi siamini kama haya maneno yanatoka kwenye kinywa cha binadamu kwa mwendo huu sijui kama yesu atakuja tena .


Wapi nimesema mimi chadema? mimi ni ccm mwenzako na inaniuma sana awa wakina dada wanavyovuliwa chup hovyo-hovyo....
 
Sikuamini kama juliana anaweza kuwayumbisha kiasi hiki vijana wa bavicha wameshindwa kujadili mada na kuanza kutukana kama wagonjwa.


Mkuu acha unafiki na kupindisha mada... Mimi ni kijana wa Lumumba kama wewe, hivi ni nani hapa Lumumba asiyejua Mwigulu anamgonga Juliana. Pia, imefika paala hadi anamlipia Masters...
 
Safari inaendelea watabomoka sana mwaka huu mpaka tufike tuendako atabaki mtei,slaa na mbowe kwenye chama siyo vinginevyo.

Kumbe mkuu ulipata degree yako Mtwara?ulisoma chuo cha kata gani?chikongora,chuno au mdenga namadi ?
 
Andishi lako linasema ni njaa ndio ilimkimbiza.. Mbona pos turn.. Waganga njaa kama kina Shonza hawawezi kuwa sehemu ya kupigania mabadiliko ya kimsingi kwa maslahi ya wengi
 

Kujibu post ya Shonza ni kupoteza muda; yafaa apuuzwe tu! Amevaa kanzu halafu anapiga serekasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…