Kibona Dickson
Member
- Feb 13, 2011
- 37
- 14
chama kikuu cha upinzani tanzania,CHADEMA kinazidi kuwa imara na kuungwa mkono katika mkoa wa Mbeya,haya yamejidhihirisha hivi karibuni wakati wa mikutano na maandamano ya CDM ktk mkoa huo.Ushiriki wa wananch ktk maandamano na mikutano ni kigezo cha msingi sana cha kukubalika kwa chama.Mikutano na maandamano ya CDM yalikuwa makubwa/mikubwa sehem zote;mbeya mjini,mbozi,Kyela,Rungwe.Chunya n.k
MBEYA NI NGOME YA CHADEMA
MBEYA NI NGOME YA CHADEMA