Chadema yawasha moto tunduma

wadau hiyo nmeisikia mbeya siku ya maandamano.nkastuka sasa dk anazeeka nakufikiri kama walivokuwa wanafikiri cuf 2005.

uzee unamkaribia

Nawewe unaamn karatasi zakura zinajifuta?

Hayo yote hapo juu ni mawazo mgando na upupu! Dr. Slaa hawezi kusema vitu kama hivyo, nina mashaka na hawa member wapya ushabiki unawasumbua sana, papara nyingi sijui huwa wanakimbizwa na nani kwenye keyboard hawaandiki vitu vinavyojitosheleza.
Mwisho wewe tumaini letu unaweza kuwa angamizo letu.
 
ukizingatia na alichosema sugu wanacchi wawapge mawe viongoz wasiowataka ni ufinyu wa fikra
Sio viongozi wasiowataka bali viongozi mafisadi ambao mzee wa kulialia alisema wazomewe mbona mnawapiga kuwaua au kuwachoma moto wezi wadogo ambao ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira unawafanya wakwapue. Kama vile mnavyosema mnajichukulia sheria mkononi coz ya uwajibikaji mbovu wa polisi na sisi the same sa ka serikali inawabembeleza wezi wakubwa tufanyeje? Piga jabali ya kichwa alaaa
 
Necha ya CCM waliojivua magamba na kudanganywa kuwa jamii forum ni sehemu inayoiuwa CCm, angalia wanaochangia pumba ni wale waliojiunga jamii forum Jna au leo cheki huyu
Originally Posted by tumaini letu
uzee unamkaribia
Join Date : 6th May 2011
Posts : 11
 
ukizingatia na alichosema sugu wanacchi wawapge mawe viongoz wasiowataka ni ufinyu wa fikra



Hivi unafikiri ningekuwa naishi igunga,Rostam angekuwa mzima leo hii?mawe yapo kwa ajili yetu maskini kuwapopoa mafisadi,kama huamini subiri tuingie 2015 bila tume huru ya uchaguzi;utayajua matumizi ya mawe kwa walala hoi
 
jamani wanajf tumieni busara kuzingati mada iliyoletwa badala ya kupote muda kujibisha na magamba..tushambulie kichwa badala ya magamba
 
jamani wanajf tumieni busara kuzingati mada iliyoletwa badala ya kupote muda kujibisha na magamba..tushambulie kichwa badala ya ma
mba
<br />
<br />


Hiki kimegeuka kijiwe cha wenye matumaini na ndoto za alinacha.Nchi hii kila kijana anataka atoke,awe na maisha mazuri lakini kumbuka kuwa maisha ya mtu ata kama uongozi ni bora badi anawajibika kwa asilimia 80 kuboresha maisha yake.Enzi za Sokoine vijana walilazimishwa kuelekea mashambani aidha maeneo waliyoko ama vijijini ndani ili kuleta tija katika kilimo.

Leo ata wale ambao wanakijua kilimo,hawataki kilimo.Nenda kariakoo na kwingineko watu hawafanyi kazi,wakiguswa eti peopleees.... Power.Nawambieni warahi,ata huyo mnae dhani(na imani hatopata fursa) kwamba atakuwa Rais,bado hata waweza.

Gadaff kawajenga walibia,maisha bora kama nyinyi ,mpendavyo lakini leo hii alivyosalitiwa kwa wachache kulaghaiwa eti wangeweza kuishi maisha bora zaidi ya hayo sasa wameambulia ulemavu,vifo,njaa kali na ukimbizi usio na kikomo.Benghazi hakuna mshahara wala chakula,NATO na washirika sasa wanapitisha bakuli eti kuchangia walibya.

Tazameni wanasiasa hawa,wanaua watu Arusha na Zanzibar,kesho wanamshika bega kikwete eti wanamsalimia kwa furaha na kunywa chai mezani.Utasikia siasa si uhasama .Tuwe makini jamani na kuwasoma hawa wasije wakawa ndio nyoka kupita kiasi kwani hawana rekodi yoyote ya utendaji serikalini zaidi ya kuwa wafanyabiashara na wawakilishi kisiasa na kiimani.Hatuwakatai ila tuwe makini nao.Tambua amani duniani na damu za watu ziko mikononi mwa wanasiasa.
 
Hayo yote hapo juu ni mawazo mgando na upupu! Dr. Slaa hawezi kusema vitu kama hivyo, nina mashaka na hawa member wapya ushabiki unawasumbua sana, papara nyingi sijui huwa wanakimbizwa na nani kwenye keyboard hawaandiki vitu vinavyojitosheleza.
Mwisho wewe tumaini letu unaweza kuwa angamizo letu.

ya mm mwana cdm bt siungi mkono maandamano bana wamezd wajenge hsp shule watuambie ndo tulichowatuma
 
kama umesikia magazeti leo asbh utagundua sasa dk wetu anaishiwa maneno yakusema si lazima mtu kuongea jaman,midomo hii angalien viongoz wetu sugu kasema et wnananchi wawapige mawe viongozi wasiowataka.lazima tukatae matendo yakukiaminisha chama chetu kuwa cha demokrasia na maandamano ya fujo.nawasilisha

mkuu hukumsoma vizuri,alisema mafisadi sio viongozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom