Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Mkutano upo uwanja wa S/Tunduma Silinde na na viongozi wapo kuongea Rwakatale analonga hivi sasa anasubiliwa Slaa zito nawengine.
Tuwekee na picha kaka ili tuende sawa,lazima wananchi wajulishwe kila kitu na haya madharau ya waziri Mkullo yatageuka kuwa kilio
Tuwekee na picha kaka ili tuende sawa,lazima wananchi wajulishwe kila kitu na haya madharau ya waziri Mkullo yatageuka kuwa kilio
Bora. wakirudi Dar Mbowe na Dr. watembelee majimbo ya Mdee na Mnyika kuona uungwaji mkono wa CDM. Unajua watu wa ubungo ni sawa na Zanzibar kwa hiyo Mnyika anahitaji kutiwa Moyo saaana na CDM makao makuu. Wasimwachie vita peke yake. Tunaomba picha za Tunduma
kama umesikia magazeti leo asbh utagundua sasa dk wetu anaishiwa maneno yakusema si lazima mtu kuongea jaman,midomo hii angalien viongoz wetu sugu kasema et wnananchi wawapige mawe viongozi wasiowataka.lazima tukatae matendo yakukiaminisha chama chetu kuwa cha demokrasia na maandamano ya fujo.nawasilisha
kama umesikia magazeti leo asbh utagundua sasa dk wetu anaishiwa maneno yakusema si lazima mtu kuongea jaman,midomo hii angalien viongoz wetu sugu kasema et wnananchi wawapige mawe viongozi wasiowataka.lazima tukatae matendo yakukiaminisha chama chetu kuwa cha demokrasia na maandamano ya fujo.nawasilisha