Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,531
- 2,490
Haaaa haaaa haaaaa... Kwani nini isiwe Syria?Jifumzeni ya Misri na Libya
Haaaa haaaa haaaaa... Kwani nini isiwe Syria?Jifumzeni ya Misri na Libya
Mbona kama mnajitekenya na kucheka wenyewe, kusingekuwa na hofu haya tusingeyasikia, nadhani CHADEMA wana hali mbaya Mwanza.
kila anapokanyaga popte huyu kada basi ni dhoruba; wana mwanza jiangalieni sana kuhusu usalama wenu. nimeshawapigia ndugu zangu wote wasiendako huko.MBINU zinazosukwa na vigogo wa Chama Cha Mapinduzi Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mwigulu Nchemba ili kukidhohofisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini Mwanza zimefichuka.
Hawa jamaa kete ya mabomu imewashinda sasa kete ya Mussa Tesha ya tindikali nayo chali sasa wanafukuzia wa machinga na boda boda lakini na hii itafail kweli kaburi linawanyemelea
Hawa jamaa kete ya mabomu imewashinda sasa kete ya Mussa Tesha ya tindikali nayo chali sasa wanafukuzia wa machinga na boda boda lakini na hii itafail kweli kaburi linawanyemelea
Pole sana....ukiwa na sura mbaya hata upake lipstick mpaka miguuni hubadiliki ng'ooo na ubaya wako utabaki paleple!Fedha na t-shirt mtahonga sana kwa vijana wa boda boda lakini Mwanza sahauni kabsaaa!Ni dalili nzuri za kukamatwa msipojiangalia kwani huu uoga wa mwenyekiti wa CDM ni dhahiri mambo yamewafika shingoni.
Una uhakika??? Inashangaza sana kusikia propaganda mbaya kama hizi.
kila anapokanyaga popte huyu kada basi ni dhoruba; wana mwanza jiangalieni sana kuhusu usalama wenu. nimeshawapigia ndugu zangu wote wasiendako huko.
Arachuga imewashinda wanajaribu Rock City, niwaambie ni rahisi kuibadili Arusha kuliko Mwanza ya Msukuma, msukuma akishasema 'yaya getegete' huwezi kumbadilisha mengine yanayofuata ni kudanganyana tu.
Kama huijui Mwanza mtafute Masha atakusimulia, pamoja na kumleta mkulu na riz1 usiku wa matokeo pale La kairo lakini aliondoka kwa ringi bila tairi.Mbona kama mnajitekenya na kucheka wenyewe, kusingekuwa na hofu haya tusingeyasikia, nadhani CHADEMA wana hali mbaya Mwanza.
Hujui maana ya ukabila kutaja kabila la mtu sio ukabila au kutaja dini ya mtu sio udini sema kingine.Watu wengine kwa ukabila !!!!.Anyway ni vema hata haya mawazo ya kikabila yakaletwa lakini si kigezo cha kupingana na hoja ya watu kujiunga katika vikundi ili wajikwamue.Na mambo haya ya ukabila ndio hasa yanarudisha nyuma juhudi za watu kujiletea maendeleo eti sababu tu wengi wa watu mahala fulani ni wa kabila fulani kama ni hivyo wawezesheni watu wenu basi au ndio ubahili wenyewe ili muwe matajiri.Kwa sasa karibu miji yote mikubwa TZ wazawa halisi hawapo.
Hujui maana ya ukabila kutaja kabila la mtu sio ukabila au kutaja dini ya mtu sio udini sema kingine.
Arachuga imewashinda wanajaribu Rock City, niwaambie ni rahisi kuibadili Arusha kuliko Mwanza ya Msukuma, msukuma akishasema 'yaya getegete' huwezi kumbadilisha mengine yanayofuata ni kudanganyana tu.