kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 117
Ccm haiwezi kukihujumu chama kama cdm,cdm kinajimaliza chenyewe kutokana na uozo wa viongozi wake,angalia wanavyoua watu kwa mabomu,silkiliza kauli za viongozi wake,ni za kakatisha tamaa
Nimewaona wapambe wao jana pale coffee shop mwanza hotel, wamejazana wananunuliwa chakula cha usiku!
Huku wakimsifia eti 'rais ajaye!?'
Roho ikaniuma sana, ukiwaangalia hali zao, unasikitika! Lakin ndo wakipewa sahani ya chips na rost kuku na wengine bia, wanajitia wamesahau shida zao!
When they wake up, they will realize that it was just a dream!! A day dream!