Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Ritz kasha msababishia mwana CDM mmoja ban jamani kuwenii makini
Propaganda tupu hakuna cha gumzo wala chochote, mtwara wataungaje Chama Chenye sear ya kuanzisha Jamhuri ya kaskazini ? Mtwara ni kusini watakuwaje sehemu ya jamhuri ya kaskazini?
NazDaz,unanichekesha sana! eti mimi ni bure kabisa...sawa bwana wewe ni wa kweli kabisa.We ndo bure kabisa....unasoma off lines halafu unajifanya unasoma btn the lines!!! Sasa ningekuwa mdini musilamu kama unavodai wewe si ningewashabikia CUF ambao wengi wanasema kwamba ni chama cha waislamu (kama wanavyosema CDM ni chama cha wakristo)!! Mdogo wangu wa damu ni kada wa CUF, nakumbuka niliwahi kumuuliza ikiwa CUF hawajinasibishi na Uislamu ni kwanini basi (especially zamani) mikutano yao walikuwa wanapenda sana kuifanya Ijumaa...hakuwa na jibu! Na hapa nimeshawahi kusema kabla, sababu inayonifanya nisikubali CHADEMA ndio hiyo hiyo inayonifanya nisiwakubali CUF....kwamba harakati na mambo yao huwa siwaelewei elewi!
Ukitofautiana sana na watu basi mwisho wa siku lazima utakuwa na matatizo... Kama ukiona katika watu kumi 8 au 9 wanakupinga basi ujue hayo mawazo yako hayafai... Najua inawezekana wewe hili unalielewa lakini kwa sababu ya maslahi binafsi unashindwa kufanya maamuzi sahihi.
Mtwara ni ya watu wa Mtwara, tunajuwa watu wa kaskazini mna CHADEMA yenuuuuu....
Hatuwataki, ni afadhali tuanzishe chama kingine kuliko CDM....... MTWARA 4 DEV FoUnD...
NazDaz,unanichekesha sana! eti mimi ni bure kabisa...sawa bwana wewe ni wa kweli kabisa.
Kwanza nikiri hadharani kuwa wewe mimi si saizi yangu! Sikuwezi kwa kujenga hoja,pia nahisi umenizidi
elimu na hata umri...all in all nakuheshimu sana na huwa nafurahishwa sana na michango yako hapa jamvini.
Lakini leo nina sawali moja kwako -: Kwanini unaichukia Chadema? kunasiku nilikusoma hapa unasema 2015
unataka kwenda kugombea ubunge jimbo la mchinga huko kusini (but najua not through CDM) itakuwa CCM au CUF.
Sasa kwanini wewe unashindwa kusoma alama za nyakati? Kwasasa hakuna chama mbadala zaidi ya CDM! Mkuu
kagombee kupitia CDM na maandalizi yaanze leo hii kupitia uongozi wa CDM,wazee wa Mchinga na wakazi wote wa
Mchina. Nenda kaitangaze M4C kuanzia sasa na nakuhakikishia 2015 utaingia mjengoni...lakini bila kupitia CDM sahau
hicho kitu.
NOTE: Chadema siyo chama cha kikristo wala kasikazini,bali ni chama cha watanzania wote! achana na propaganda
za CCM mkuu!
Ritz kasha msababishia mwana CDM mmoja ban jamani kuwenii makini
NazDaz,unanichekesha sana! eti mimi ni bure kabisa...sawa bwana wewe ni wa kweli kabisa.
Kwanza nikiri hadharani kuwa wewe mimi si saizi yangu! Sikuwezi kwa kujenga hoja,pia nahisi umenizidi
elimu na hata umri...all in all nakuheshimu sana na huwa nafurahishwa sana na michango yako hapa jamvini.
Lakini leo nina sawali moja kwako -: Kwanini unaichukia Chadema? kunasiku nilikusoma hapa unasema 2015
unataka kwenda kugombea ubunge jimbo la mchinga huko kusini (but najua not through CDM) itakuwa CCM au CUF.
Sasa kwanini wewe unashindwa kusoma alama za nyakati? Kwasasa hakuna chama mbadala zaidi ya CDM! Mkuu
kagombee kupitia CDM na maandalizi yaanze leo hii kupitia uongozi wa CDM,wazee wa Mchinga na wakazi wote wa
Mchina. Nenda kaitangaze M4C kuanzia sasa na nakuhakikishia 2015 utaingia mjengoni...lakini bila kupitia CDM sahau
hicho kitu.
NOTE: Chadema siyo chama cha kikristo wala kasikazini,bali ni chama cha watanzania wote! achana na propaganda
za CCM mkuu!
Ni kawaida yao hao.Wanashinda humu JF ili kuwakera watu na kuwatafutia Ban.
KWA HIYO NI NANI AMEWAOA KWA SASA? Nadhani rekebisha sentenso yako maana mimi Mmakonde damu! Suala si kabila kuoa kabila, bali ni jitihada za pamoja kukomboa nchi yetu! Kuachana na fika mgando na kuleta vuguvugu la mawazo mapya ya kimapinduzi na yenye tija kwa watu wote. Kwa bahati mbaya sisi wamakonde hatujaona mapinduzi hayo, ndo maana safari ya kilomita mia sita (Da-Mtwara) unaweza kutumia masaa 36 usipokuwa makini. Ndo maana bei ya korosho inapangwa na wasiowakulima wakati wenye kutoka jasho ni wakulima. Ndo maana hali ya kiuchumi imeendelea kuwa duni. Haya ndo mawazo ya kuleta kwenye jukwaa yajadiliwe! Sio mchaga kumwoa mmakonde! Wamakonde hawaolewi kama kabila, maana kama ni hivyo niambie kwa sasa amewaoa nani? Na je wamakonde wote ni wanawake. Acha matusi ya ya rejareja PASCO!!!!!!!!!!
Sina mda wa kuchochea mambo ya kidini ungenijibu tu swalilangu sbb za kupiga mapambio umeshindwa kunijibu unanisingizia nachochea udini...ungekua ni mtihani umepewa ushafeli..sioni mantiki ya mkutano wa siasa zikapigwe mapambio Ndio maana watu wakisema ni chama cha kidini unanuna wakati mnawapa watu sababu za kusemaMtu ukiwa kila mara unapenda kuchochea fujo za udini kwa watu wastaarabu watakudharau.
Sina mda wa kuchochea mambo ya kidini ungenijibu tu swalilangu sbb za kupiga mapambio umeshindwa kunijibu unanisingizia nachochea udini...ungekua ni mtihani umepewa ushafeli..sioni mantiki ya mkutano wa siasa zikapigwe mapambio Ndio maana watu wakisema ni chama cha kidini unanuna wakati mnawapa watu sababu za kusema
huu ndio uzuri wa kuanza na mungu na kutenda kazi kwa kumshirikisha mungu.
wao wana wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, wana jeshi ila sisi tuna mungu!!!!
duh njema sana hiyo.....!!!!
maneno sampuli hii yataigharimu sana cdm! Wale wasioamini mung je?
ninyi kina nani?
Kazi yako ni kuchunguza gari ya matangazo ya CDM inapiga mziki gani ili upate cha kukosoa.Kazi kweli kweli.Ndipo mtu unapoona ugumu wa kukamilisha ukombozi wa Taifa hili.[/QUOTEivi unajua maana ya kuchunguza wewe.!!?kitu kikowazikabisa maelfu wanasikia haitaji hata kuchunguza hata ukiwa ndani ya nyumba yako unasikia then unasema nachunguza hata mtoto wamiaka5 anasikia
unanifanya nicheke kwakujaribu kupindisha ukweli sio Kila kinachofanywa na CDM kikosawa wanapokosea wakosolewe nibinadamu tu Kama wengine
Kazi yako ni kuchunguza gari ya matangazo ya CDM inapiga mziki gani ili upate cha kukosoa.Kazi kweli kweli.Ndipo mtu unapoona ugumu wa kukamilisha ukombozi wa Taifa hili.[/QUOTEivi unajua maana ya kuchunguza wewe.!!?kitu kikowazikabisa maelfu wanasikia haitaji hata kuchunguza hata ukiwa ndani ya nyumba yako unasikia then unasema nachunguza hata mtoto wamiaka5 anasikia
unanifanya nicheke kwakujaribu kupindisha ukweli sio Kila kinachofanywa na CDM kikosawa wanapokosea wakosolewe nibinadamu tu Kama wengine
Haya mkuu wangu.Ukombozi wa Taifa hili unakutegemea hata wewe.
shule hizi za kata zimeharibu wengi sana! Unaacha mada husika unarukia kutukana!! Anyway i never argue with fools like you!!
Tunakumbushi mlichokisema na end result yake! na mtwara itakuwa hivyo hivyo...
Kwa watu wanaolewa mwenendo wa CDM na uducteta uliopo, hawawezi kukishobokea CDM.
Am happy watu wa Pwani ni waelewa na wanajua kupima mambo kabla ya kukurupukia vitu!