- Thread starter
- #161
Molemo Rafiki yangu, una uhakika na unachokisema kweli?
Nina uhakika asilimia mia moja.Mungu hashindwi na chochote.Hakuna mwanadamu mwenye uwezo kumshinda Mungu.Na ndio maana hila za wanadamu zimeshindwa kupunguza kasi ya CDM.Mwacheni Mungu na aitwe Mungu.
Last edited by a moderator: