- Thread starter
- #121
Why Arusha wakatimwingine zinapigwa nyimbo za dini kwanye mikutano sababu nini ...kuna yoyote anaweza kunielezea Wanamagwanda ?
Unataka zipigwe nyimbo za Shetani?
Why Arusha wakatimwingine zinapigwa nyimbo za dini kwanye mikutano sababu nini ...kuna yoyote anaweza kunielezea Wanamagwanda ?
Tunakumbushi mlichokisema na end result yake! na mtwara itakuwa hivyo hivyo...
Kwa watu wanaolewa mwenendo wa CDM na uducteta uliopo, hawawezi kukishobokea CDM.
Am happy watu wa Pwani ni waelewa na wanajua kupima mambo kabla ya kukurupukia vitu!
Wewe kweli kauzu yani ukiwa mshabiki wa Chadema humu JF ndio great thinkers halafu kazi yako ni kuisifia Chadema ndio unakuwa unaongea pointi?
Unataka zipigwe nyimbo za Shetani?
Mkuu osokoni naona umeamua kuyashambulia magambashule hizi za kata zimeharibu wengi sana! unaacha mada husika unarukia kutukana!! anyway I never argue with fools like you!!
CCM Mjiandae kuwa wapinzaniso what?
Ulitakiwa unijibu Ndio uniulize swali"......kwanini zinapigwa za mapambio tu au wanachama wake wote ni watu wa mapambio
Ukumbuke hao 15000 ndio walimu wa hao ambao sio memberMkuu wangu Tanzania kuna watu zaidi ya milioni 40 JF kuna members 70,000 na kuna zaidi ya Multiple ID's 40,000 Members hai unaweza kukuta wapo 20,000 tu Chadema wape members 15,000 hawa ndio wanawawakilisha Watanzania milioni 45? Ha haa haaa haaaa haaaaaa!
shule hizi za kata zimeharibu wengi sana! unaacha mada husika unarukia kutukana!! anyway I never argue with fools like you!!
Kwanza nimekucheka sana,kisha nikasikitika! kwahiyo kwa akili yako unadhani 2015 Chadema bado itakuwa naNimecheka mpaka mbavu zinauma hivi hunaweza kuchukuwa nchi na wabunge 23?
Mmh! yaani nimecheka hadi mbavu zinaniuma...nimekusoma between the line nikagundua unasumbuliwa na vitu 2.
Kwanza wewe ni mdini sana! na ninaguess wewe ni Islam. Badilika mkuu hizi dini tumeletewa tu na wajanja wakuja.
Pili nafsi yako imejaa chuki kubwa sana kwa Chadema, lakini jiulize swali hili...hivi hawa CDM wasipokubalika Lindi na
Mtwara watashindwa kuichukua nchi 2015 au 2020? Jibu unalo mwenyewe na nijepesi sana kama utashirikisha ubongo
wako.
All in all usipoteze mda wako kwa kutaka kuzuia mafuriko au tsumani kwa mikono yako miwili! Jitahidi kusoma alama za
nyakati...kwani sauti ya wengi ni sauti ya Mungu! Time will tell
Ukumbuke hao 15000 ndio walimu wa hao ambao sio member
Kwanza nimekucheka sana,kisha nikasikitika! kwahiyo kwa akili yako unadhani 2015 Chadema bado itakuwa na
wabunge hao hao 23?....za mbayuwayu changanya na zako. pole sana!
Ameshakula ban kwi! Kwi! Kwi!Naona umefuta kwa kasi ajabu post yako utumbo ulioiandika...narudia tena JF sio Mali ya Chadema ni jukwaa huru.
Mmh! yaani nimecheka hadi mbavu zinaniuma...nimekusoma between the line nikagundua unasumbuliwa na vitu 2.
Kwanza wewe ni mdini sana! na ninaguess wewe ni Islam. Badilika mkuu hizi dini tumeletewa tu na wajanja wakuja.
Pili nafsi yako imejaa chuki kubwa sana kwa Chadema, lakini jiulize swali hili...hivi hawa CDM wasipokubalika Lindi na
Mtwara watashindwa kuichukua nchi 2015 au 2020? Jibu unalo mwenyewe na nijepesi sana kama utashirikisha ubongo
wako.
All in all usipoteze mda wako kwa kutaka kuzuia mafuriko au tsumani kwa mikono yako miwili! Jitahidi kusoma alama za
nyakati...kwani sauti ya wengi ni sauti ya Mungu! Time will tell
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???