Baadaya kuzuiliwa na polisi hatimaye CDM kupitia makamanda wake LEMA NA OLLE MILLYA kuhutubia umati wa watu Same katika jimbo la Same Magharibi. Shughuli katika mji wa same zilisita na wimbo wa kila mtu ni PEOPLES POWER TU.Zaidi ya wanachama 300 wamehamia na kupewa kadi.Hizi ni salamu tosha kwa David Mathayo ambaye ama kwa hakika ameshaona mwisho wake 2015.
M4C Haizuiliki hata wakiomba wanajeshi marekani! CDM watafute kijana anayekubalika achukue hilo jimbo kilainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kweli CDM imeanza kwa kuajiri vijana!
We siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa Chadema. Sema Chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUIJUE TABIA YAKO".
Wewe fisadi,hajasema ninyie amesema ni watanzania,wanyonge walioibiwa mali zao waliodhalilishwa kwa kuitwa taifa masikini ndani ya utajiri unaoodhiwa na wachache.
We siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa Chadema. Sema Chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUIJUE TABIA YAKO".
Sasa utapingana na sauti ya Mungu? Akisha amua ameamua ngoja vijana wasonge mbele utawakubali pale utakapo waona wameingia ikulu nndipo utakaposema hakika Mungu ni muweza