Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Ninachokiona hapa, watu wataanza kushindwa kumtofautisha Slaa na Lyatonga Mrema. Kama kweli hamtambui Rais awaambie wabunge wake wasiingie bungeni kama walivyofanya wenzao wanaume CUF 1995-2000.
On the Chadema's stand over President Kikwete's win, Judge Werema said Chadema's decision was ‘nonsense'. (Ni mawazo na msimamo wa kijinga na kipumbavu kutomkubali Rais)
Huyu ni AG kweli ?
So this is a justification of whateva messy the election results are?Wewe, katika nchi ambayo ina watu kama wewe, kutofautina matokeo ni kitu cha kawaida kabisa. Huwezi ukapata exact figures za Kigoma,mwanza, mbeya, Tanga na mikoa yote nchini na zile zitakazokuwa tume. Isitoshe tume inaweza kufanya masahihisho kurekebisha yale makosa yaliyotokea vituoni. Hicho kitu kiko all over the world, si TZ tu.
Kama CHADEMA hawamtambui Rais:
1. Watashiriki kupiga kura za kumpitisha/kutompitisha waziri mkuu? Waziri mkuu hupendekezwa na Rais, kushiriki katika kumpigia kura ni kutambua huyo aliyemleta ni Rais halali.
2. Baada ya waziri mkuu kupitishwa, wataweza kumuuliza mwaswali yeye pamoja na mawaziri wengine, ambao wote wameteuliwa na Rais wasiyemtambua?
Ndugu zangu wana JF, tamko hili la CHADEMA ni la kisiasa tu na halitekelezeki. Sababu kubwa ni kwamba wabunge wa CHADEMA hawawezi kugive-up ubunge wao - kwa katiba ya Tanzania kama humtambui Rais huwezi kuwa mbunge.
Ebu nielimishe zaidi. Kifungu hicho hapo juu hakisemi ni uchaguzi upi, wa raisi au wa wabunge. Inaoenekana unaweza kwenda mahakamani ku challenge uchaguzi wa wabunge ingawa sijui ni wapi katiba inasema specifically kuhusu wabunge. Swali langu kuhusu uchaguzi wa raisi ni hili:
Is there a constitutional provision that explicitly states that the results of a presidential election - as opposed to parliamentary elections - are final, and can not be challenged in court, after they are announced by the electoral commission?
Nakubaliana na wewe hili linaweza kuwa tamko la kisiasa lakini lina impact.
Mkuu tukumbushane kidogo, CUF walipomkataa Karume walishiriki vp kwenye serikali yake, Tsvangirai Vs Mugabe wameenda enda vipi mpaka sasa? na pia what transpired between Odinga na Kibaki. Kiukweli none of the mentioned models ni attractive kwa Tanzania yetu lakini probably kukataliwa is the only language watawala wa kiafrika dhalimu na walioinghia madarakani kiuchakachuaji inawafanya wasikie . The other option ni vurumai which is not a good one.
Otherwise it's just business as usual.
So this is a justification of whateva messy the election results are?
Ni ngumu sana kufanya majadiliano ya hoja kwa mtu anayeamini namna hii!!!!!!!!!! Huu unazi haisadii chochote Tanzania na hautaipeleka popote.
kaongea Point moja tu hapo, kubadilisha katiba. Mengine yote yote upupu mtupu na amechelewa sana. Kubadilisha katiba naunga mkono
kaongea Point moja tu hapo, kubadilisha katiba. Mengine yote yote upupu mtupu na amechelewa sana. Kubadilisha katiba naunga mkono
Wewe, katika nchi ambayo ina watu kama wewe, kutofautina matokeo ni kitu cha kawaida kabisa. Huwezi ukapata exact figures za Kigoma,mwanza, mbeya, Tanga na mikoa yote nchini na zile zitakazokuwa tume. Isitoshe tume inaweza kufanya masahihisho kurekebisha yale makosa yaliyotokea vituoni. Hicho kitu kiko all over the world, si TZ tu. Hii ni tatizo la miundo mbinu. Kama kuna wizi vituoni, hilo ni suala lingine litatokana na uzembe wa vyama vya siasa kubweteka na ni funzo kwa 2015.
Ninapokuambia maelezo yako ni upupu nina maana kuanza kuchachamaa sasa hivi ati matokeo yamechakachuliwa na ili hali ulijua uwezekano huo hata kabla ya uchaguzi ni upuuzi mkubwa sana.
Sijajua wewe uchungu wako ni upi? Kwamba ulikuwa ni lazima upate unachokitegemea na hukubali kilichopo au ni mkereketwa kama mashabiki wa mpira wa simba na yanga ambao siku zote wanajua team zao zinatakiwa zishinde na zikishindwa anafukuzwa mwenyekiti?! Na ushindwe ulegee mpaka ufe.
Achana na kumtambua mimi simtaki