Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
jeykeywaukweli, hapo ndipo kikomo chako cha uelewa??????????????? kupinga matokeo ni sawa kwani wamechakachua ila angeshinda kwa halali tusingekuwa na tatizo nalo. Ushauri wangu kwako fanya shughuli zingine za DR. Slaa mwachie mwenyewe.Pilipili bado iko shamba kwako kujikuna utanishangaza.