Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
We songea unaifananisha na wap labda
We songea unaifananisha na wap labda
Hatujuani nadhani.
Kama Arusha na Mbeya.Miji iliyo nyuma kimaendeleo ndo watu wake hujifanya vichaa kwenye siasa.
Nimepagusa kwenu nini mzee...Mimi huwa napiga hapohapo kwenye mshono...pole kwa kuwa victim...Hata hivyo hatujuani sijui una uhakika gani kwetu wanafanya mambo hayo.Kama ambavyo mnaowashwa makalio mnavyojifanya vichaa kwenye kukata viuno
Dsm vichaa ni kama nyie
Nyamongo ni masikini? tembea uone hapa ni kijijini lakini kuna ghofa za kutoshaMiji iliyo nyuma kimaendeleo ndo watu wake hujifanya vichaa kwenye siasa.
Unaweza usiwe masikini ila ukawa nyuma sana kimaendeleo and vice versa.Nyamongo ni masikini? tembea uone hapa ni kijijini lakini kuna ghofa za kutosha
Panaizidi Maswa, meatu,kishapu,kakonko
Yule aliyesema Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara,kuwa alinunuliwa kama dagaa akae kimya?Nyamongo ndio kwa akina Mwita Waitara!