Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Nyamongo ndio kwa akina Mwita Waitara!
Waitara alishafukuzwa kule kutokana na usaliti na uleviNyamongo ndio kwa akina Mwita Waitara!
Yule kwake ni gomz hana jeuri ya hiyoNyamongo ndio kwa akina Mwita Waitara!
Ni kweli kama Dar es salaam tuMiji iliyo nyuma kimaendeleo ndo watu wake hujifanya vichaa kwenye siasa.
Dar msafara wa mamba na kenge wapo kama weweNi kweli kama Dar es salaam tu
Mbona Kongwa, Mtera, Ruangwa nk in miji iko nyuma sana kwa maendeleo lakini haina vichaa wa siasa?Miji iliyo nyuma kimaendeleo ndo watu wake hujifanya vichaa kwenye siasa.
Siyo Membe tena? Waswahili wa bongo mko vizuriMambo motomoto Tundu Lissu 2020
Pandikizi ambalo linaletwa kwa timming hapana big NO!Siyo Membe tena? Waswahili wa bongo mko vizuri
kama songeaMiji iliyo nyuma kimaendeleo ndo watu wake hujifanya vichaa kwenye siasa.
Wewe kwenu Mtera kuna maendeleo gani ?Miji iliyo nyuma kimaendeleo ndo watu wake hujifanya vichaa kwenye siasa.
Akikujibu nistue mkuuMbona Kongwa, Mtera, Ruangwa nk in miji iko nyuma sana kwa maendeleo lakini haina vichaa wa siasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ambavyo mnaowashwa makalio mnavyojifanya vichaa kwenye kukata viunoMiji iliyo nyuma kimaendeleo ndo watu wake hujifanya vichaa kwenye siasa.
MajorityMbona Kongwa, Mtera, Ruangwa nk in miji iko nyuma sana kwa maendeleo lakini haina vichaa wa siasa?
Sent using Jamii Forums mobile app