Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,539
nawe ujali utu zaidi kuliko chama chako cha ..... taratibu tu utaweza.Ubarikiwe japo kwa leo!! Umeonyesha kujali utu badala ya chama,taratibu tu utaweza.
nawe ujali utu zaidi kuliko chama chako cha ..... taratibu tu utaweza.Ubarikiwe japo kwa leo!! Umeonyesha kujali utu badala ya chama,taratibu tu utaweza.
haya ila kwenye mambo ya msingi wote tuwe tunaacha ushabiki kwa umoja wetu.Amina.. Leo umelonga
Hapa CHADEMA wamefanya jambo jema na la kuigwa.Kila mwenye akili na nia njema aige hili.Mungu awabariki wote waliohusika.Wote tuseme amina!
Hapa CHADEMA wamefanya jambo jema na la kuigwa.Kila mwenye akili na nia njema aige hili.Mungu awabariki wote waliohusika.Wote tuseme amina!
unaona je tukiwa pamoja?Amina ndugu, ninachokufurahia ni kuwa umeweza kuwa objective na kuyatazama mambo bila kuvaa miwani ya uchama na ukada, pamoja
wakati wote inachaji sema ninyi wenzangu huwa siwaelewi.Amina...Kumbe sometimes kichwa yako huwa inachaji...
sawa mkuu nimekupata, ni mara ya pili sasa nimeshuhudia ukizungumzia jambo kwa uhalisia wake,.. la kwanza likiwa la mzee wa ndovu. Unazungumzia vipi hili la usiri wa bunge?haya ila kwenye mambo ya msingi wote tuwe tunaacha ushabiki kwa umoja wetu.
kwamba vipindi viwe vinafanyiwa editing kabla ya kurushwa? hilo sahihi maana kuna watu wanataka sifa kuoneka hivyo wanafanya mafinyufinyu.sawa mkuu nimekupata, ni mara ya pili sasa nimeshuhudia ukizungumzia jambo kwa uhalisia wake,.. la kwanza likiwa la mzee wa ndovu. Unazungumzia vipi hili la usiri wa bunge?
M4C forever!
unaona je tukiwa pamoja?
Dah safi sana makamanda....
"NAONA NYERERE AMEFUFUKA"..hiyo kauli inanipa picha ni kwa namna gani NYERERE yumo mioyoni mwa wananchi.....