Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,106
- Thread starter
- #41
Mwakyembe ameponzwa na ahadi za uongo , liko wapi soko la mchele kutoka Marekani alilotuahidi ? matokeo yake tunaona wanunuzi wa kipemba tu ! ndio kwanza watanzania tumepigwa pini kukanyaga USA .Karibu sana,tunakujua toka Temeke huwezi kutupa tabu
Ameua Mango Tree na kumdhulumu Mzungu wa watu na kumpiga pini ya kukanyaga bongo !