Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Mbona humtaji huyo kigogo?Propaganda mfu haziwezi kuwasaidia huko lumumba!Kanda ya Ziwa (Victoria) kuna utata. Huyu mdada (Mwl) ambaye ni Katibu wa Kanda aliwekwa na kigogo mmoja wa "ngazi za juu" kama "chakula yake" pamoja na kwamba hakubaliki. Akapoteza ndoa na kapoteza kazi yake ya ualimu hapa jijini Mwanza. Sasa, wanachama huku hawamtaki, Kamati Kuu haimtaki ila huyo "kigogo" anang'ang'ania aendelee kuwepo. Ndio maana suala lake limeahirishwa.