Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
hata barack obama alivuta bangi sana lakini wakati ulipofika uliongea.
Hii kitu ikipigwa nchi nzima, lazima Magamba waondoke 2015.
hata barack obama alivuta bangi sana lakini wakati ulipofika uliongea.
mboye unadhani watz hawajui kuwa wewe wewe ni mchuuzi , kweli mmiliki wa danguro awe rais wa nchi watz wanajua na ulimwengu unajua. Dr slaa analipwa mil 7.5m kwa mwezi. Akiwa rais atataka kulipwa 100m kwa mwezI kwa vile amekaa nje ya bunge kwa muda. Tamaa ,ukanda na uroho wa madaraka ndio sifa ya viongozi wa chadema. Maendeleo yaliyopo kusini sasa ni matokeo ya kazi ambao mtu mwenye akili timamu hawezi kubisha.
Mbona unatoapovu sana??? Sijui unamaanisha Mbeya, Iringa, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Rukwa, Mwanza, Dar na Mara yote ni kanda moja?? Kasome hata Jiografia ya darasa la 5 na itakufundisha!!
Join 10th April 2011mboye unadhani watz hawajui kuwa wewe wewe ni mchuuzi , kweli mmiliki wa danguro awe rais wa nchi watz wanajua na ulimwengu unajua. Dr slaa analipwa mil 7.5m kwa mwezi. Akiwa rais atataka kulipwa 100m kwa mwezI kwa vile amekaa nje ya bunge kwa muda. Tamaa ,ukanda na uroho wa madaraka ndio sifa ya viongozi wa chadema. Maendeleo yaliyopo kusini sasa ni matokeo ya kazi ambao mtu mwenye akili timamu hawezi kubisha.
mboye unadhani watz hawajui kuwa wewe wewe ni mchuuzi , kweli mmiliki wa danguro awe rais wa nchi watz wanajua na ulimwengu unajua. Dr slaa analipwa mil 7.5m kwa mwezi. Akiwa rais atataka kulipwa 100m kwa mwezi kwa vile amekaa nje ya bunge kwa muda. Tamaa ,ukanda na uroho wa madaraka ndio sifa ya viongozi wa chadema. Maendeleo yaliyopo kusini sasa ni matokeo ya kazi ambao mtu mwenye akili timamu hawezi kubisha.
Waje tena Tanga jamani
mboye unadhani watz hawajui kuwa wewe wewe ni mchuuzi , kweli mmiliki wa danguro awe rais wa nchi watz wanajua na ulimwengu unajua. Dr slaa analipwa mil 7.5m kwa mwezi. Akiwa rais atataka kulipwa 100m kwa mwezI kwa vile amekaa nje ya bunge kwa muda. Tamaa ,ukanda na uroho wa madaraka ndio sifa ya viongozi wa chadema. Maendeleo yaliyopo kusini sasa ni matokeo ya kazi ambao mtu mwenye akili timamu hawezi kubisha.
Nilitaka nikujibu kwenye rangi ya kijani nikagundua humsemi mwenye kiti wangu, kwenye rangi nyekundu, hakuna tatizo kulipana mamilioni kama wana fanyakazi nzuri waliyotumwana watanzania kuliko sasa hivi mjinga mmoja anasafiri kila kukicha lakini anacho mamilion huku nchi ikiwa taabani, rangi ya blue tuambie ni maendeleo yapi ili serikali tuwape zawadi ya kutuletea maendeo....lakini kama ndiyo haya kwa wadongo zetu/ watoto wetu hapana hatakama wewe unafaidikamboye unadhani watz hawajui kuwa wewe wewe ni mchuuzi , kweli mmiliki wa danguro awe rais wa nchi watz wanajua na ulimwengu unajua. Dr slaa analipwa mil 7.5m kwa mwezi. Akiwa rais atataka kulipwa 100m kwa mwezI kwa vile amekaa nje ya bunge kwa muda. Tamaa ,ukanda na uroho wa madaraka ndio sifa ya viongozi wa chadema. Maendeleo yaliyopo kusini sasa ni matokeo ya kazi ambao mtu mwenye akili timamu hawezi kubisha.
Mkuu hii siyo NMC - Arusha maana siamini nyomi kama hii kwa mikoani Du...Mungu ibariki Chadema namuona kamanda wangu lema anakamua......Kitaeleweka tu