Hukumu inaandaliwa ikulu kisha itasomwa kwenye ile Kangaroo Court sasa nini itakuwa hatima ya Mashinji aliyeenda kuunga mkono juhudi.
Huyo atawapa hao wanao-dictate hiyo hukumu wakati mgumu sana maanake defection yake wameichagiza at a very wrong time. Let us wait and see.
Zipo dalili za visasi ama kuihujumu cdm maudhui ya kesi, mwaliko ikulu wa viongozi ikulu,matamshi mbalix2 viongozi ccm. Dawa ya hukumu ya kidhalimu kijani kisivalike mtaani.Ukondoo ukizidi heshima inapotea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kumbe kesi yao nibya kutukana eeee ?Chadema walikosea kumtukana Rais wetu Magufuli
Hatutawasamehe kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafurahi sana wakiswekwa ndani. Nataka kuona hawa wanaopiga kelele humu mtandaoni watafanya nini hadharani. Pia itasaidia kuwaambia hawa wa mtandaoni ni wapiga kelele wa humu tu na hawana tofuti na TOOTHLESS BULL DOGS!!!!
Ni yale yale ya Tundu Lissu kunyang'anywa Ubunge wake na Mahakama kubariki zoeziHapa ndio tutajua kuba uhuru kwenye mahakama au laa
dada yangu acha uogaHukumu inaandaliwa ikulu kisha itasomwa kwenye ile Kangaroo Court sasa nini itakuwa hatima ya Mashinji aliyeenda kuunga mkono juhudi.
Huyo atawapa hao wanao-dictate hiyo hukumu wakati mgumu sana maanake defection yake wameichagiza at a very wrong time. Let us wait and see.
Mkuu 'Nyanjomigire'Hukumu inaandaliwa ikulu kisha itasomwa kwenye ile Kangaroo Court sasa nini itakuwa hatima ya Mashinji aliyeenda kuunga mkono juhudi.
Huyo atawapa hao wanao-dictate hiyo hukumu wakati mgumu sana maanake defection yake wameichagiza at a very wrong time. Let us wait and see.
LOoo, hata wewe mkuu, bado unashaka na hili?Hapa ndio tutajua kuba uhuru kwenye mahakama au laa
Huwa kunagiza la mawingu ya mvua! Hivyo kuangalia muda ni muhimu mkuu! Utaamka saa 9 ukidhani ni totoro la kukucha kumbe la mawingu ya mvua.
Ha ha ha ha ! Chademaaa! Mavi yanagonga chupi yanarudi yenyewe!Mkisikia kuna maandamano ya wapinzani wenu, kumbe mavi yanagonga boxa????
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema walikosea kumtukana Rais wetu Magufuli
Hatutawasamehe kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app