Walimtukanaje?Chadema walikosea kumtukana Rais wetu Magufuli
Hatutawasamehe kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashinji hii kesi ya chadema haimhusu. Yuko sisiemu.Hukumu inaandaliwa ikulu kisha itasomwa kwenye ile Kangaroo Court sasa nini itakuwa hatima ya Mashinji aliyeenda kuunga mkono juhudi.
Huyo atawapa hao wanao-dictate hiyo hukumu wakati mgumu sana maanake defection yake wameichagiza at a very wrong time. Let us wait and see.
Nitafurahi sana wakiswekwa ndani. Nataka kuona hawa wanaopiga kelele humu mtandaoni watafanya nini hadharani. Pia itasaidia kuwaambia hawa wa mtandaoni ni wapiga kelele wa humu tu na hawana tofuti na TOOTHLESS BULL DOGS!!!!
Chadema walikosea kumtukana Rais wetu Magufuli
Hatutawasamehe kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app
The shit has been started by this thread. How comes he threatens the court for the coming verdict? I repeat, let them found guilty and see what stupid people who keep throwing threats will do!!Kwahiyo unafunga watu bila kuangalia haki unaangalia mtandaoni anaongea nini mtu?
Yaani impartiality inayotakiwa na mtoa maamuzi mahakamani inaondoka anachukua mtandaoni nani kaongea nini?
What shit is this?
Tumia neno wangu badala ya wetu, au sema wangu na familia yanguChadema walikosea kumtukana Rais wetu Magufuli
Hatutawasamehe kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sanaTukijaliwa nitahuduria mahakamani. Kuja kusikiliza hukumu.
Wewe mwenyewe na upara wako na umbilikimo wako utakuwa sehemu unawaza kupiga ruzuku ijayo tu
Mpambanaji nyuma keyboards,kwi kwi kwi !!
Wakumbuka kauli ya katibu wenu lakini?Inabidi wapigwe mvua ya miezi 6, au mitatu! Wajue nchi hii ni Amani kwanza.
Tukijaliwa nitahuduria mahakamani. Kuja kusikiliza hukumu.
Hayo ndo makandokando ambayo hayatakiwi kwenye hukumu hii kwani tiyari wewe jaji bush umeshaamua kuwafungaChadema walikosea kumtukana Rais wetu Magufuli
Hatutawasamehe kwa hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajivunia kale kadola kenu alikokasema bashru.Nitafurahi sana wakiswekwa ndani. Nataka kuona hawa wanaopiga kelele humu mtandaoni watafanya nini hadharani. Pia itasaidia kuwaambia hawa wa mtandaoni ni wapiga kelele wa humu tu na hawana tofuti na TOOTHLESS BULL DOGS!!!!
Unajitekenya harafu unacheka!!🤣🤣🤣Hayo ndo makandokando ambayo hayatakiwi kwenye hukumu hii kwani tiyari wewe jaji bush umeshaamua kuwafunga