Cdm Arusha baada ya kupata fununu kuwa ccm na polis wanapanga kupiga bomu maandamano ya cdm,leo kupitia mwenkt wa cdm wilaya ya Arusha,mh Nanyaro,wamesitisha maandamano yao.
Lakin katka hali ya kushangaza na kuonekana kuwapendelea ccm,polis wamesema ni marufuku kuandamana kwa chadema,huku akiacha kuzungumzia kuhusu ccm waliotangaza pia jana kuwa kesho juma tano wataandamana.
Lakin katka hali ya kushangaza na kuonekana kuwapendelea ccm,polis wamesema ni marufuku kuandamana kwa chadema,huku akiacha kuzungumzia kuhusu ccm waliotangaza pia jana kuwa kesho juma tano wataandamana.