Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
CHADEMA imeshinda kiti cha Mwenyekiti wa Halmasahuri Wilaya ya Hai. Hatimaye CCM wamesalimu amri baada ya CHADEMA kukinyakua kiti hicho. Wilaya ya Hai ilikuwa ni mojawapo ya maeneo ambayo kulikuwa na mvutano mkubwa wa uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti na baada ya mshikemshike wa Arusha CCM wamesalimu amri kama ilivyokuwa Mwanza! Aluta Continua!!!