Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Nakwambia leo huko ni vikao kwa vikao kutafuta 'aliyesaliti'. Walinipiga Moshi wakachukua uenyekiti sasa upepo umegeuka pambaf zao!! Nilipata kura 22 mgombea wao akapata 23 wakati sisi (pamoja na TLP) tuko 23 na tulishakubaliana na TLP kugawana nafasi ili Halmashauri ibaki upinzani!! Akifa itakuwa hasara kwa upinzani maana huyu mzee ametupiga sana tafu kwa ujinga wake na kuropoka hovyo!!
Hivi Gurudumu umewahi kujiuliza kwamba Dr. Slaa na Makamba wote ni makatibu wakuu??? Unaweza kuwalinganisha??
Watabana lakini wataachia tu, kweli nimeamini makamba anaijenga Chadema
ccm wanapenda kuteua viongozi dhaifu ili kuwatiisha. Hawakutegemea kungekuwepo critical upinzani tz, walizoeana na mke wao wa ndoa wakajisahau.
Washa simu zako za voda nikupigie