- Thread starter
- #61
Hahahahahahahahahaaa!! MOLEMO!!!
DON'T be obsessed by politics of poor Countries like Tanzania! utaishia kujitia kiberiti!!
Ningesema maneno ya aina hiyo hiyo dhidi ya JK ungeshangilia au kutoa maneno matamu ya kuunga mkono!
Kwa taarifa yako Katibu mkuu wa CHADEMA ndo mtendaji mkuu wa chama!! hata ma-auditor wanamhoji yeye kuhusu matumizi si mbowe. Kubaliana nami kuwa Mbowe kapotoka kwa kauli yake hiyo hasa katika kipindi hichi ambacho chama chake ndo kinasimika mizizi!! You must learn to be flexible!! ccm wapo rigid ndo sababu wanayumba. sasa nanyi mkiwa rigid kama wao hakika tutashuhudia mnavyosambaratika!!
BY THE WAY: MBOWE ANGEPUNGUKIWA NINI KAMA ANGESEMA CHAMA KITASIMAMIA UZAMBAZAJI WA HIZO PIKIPIKI KWA KARIBU ZAIDI? BADALA YA KU-PERSONALIZE USIMAMIZI WA HIZO PIKIPIKI?. CHEO CHA MWENYEKITI NI TAASISI SI MTU BINAFSI. KITENDO CHA KUSEMA YEYE KAMA MBOWE ATASIMAMIA IS DEADLY WRONG!! HASA KWA CHAMA MAKINI KAMA CHADEMA!!
MTU anapojitangaza kuwa yu-professor, sisi tunauangalia huo u-prof. chadema ikisema ni chama makini nasi twaangalia huo umakini. kama vile ccm wanavyojigama ni chama cha wafanyakazi na wakulima ambapo tumeshawakataa kwa kuwa si chama cha hao watu tena bali ni chama cha wafanyabiashara!!
Acha upofu mkuu wangu.
Waambie Magamba waliokutuma kwamba Mbowe ndiye kiongozi mkuu wa chama na ana mamlaka ya kusimamia kila kitu.Pia watonye magamba wenzio kuwa Dr Slaa ndiye Mratibu mkuu wa kila kitu.Huwezi kuwatenganisha Dr Slaa na Mbowe kwa jambo lolote.Hawa ni Miamba wa CDM.Una lingine zaidi?