CHADEMA Yasambaratisha CCM Iramba Mashariki

CHADEMA Yasambaratisha CCM Iramba Mashariki

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Umati mkubwa wa wananchi uliofurika katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA Kata ya Nkungi Jimbo la Iramba Mashariki leo umesababisha shughuli zote kusimama kwa zaidi ya saa tatu.

Mkutano huo ulihutubiwa na viongozi kadhaa wa kitaifa na mkoa wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera na Utafiti Mwita Mwikabe Waitara na Kamanda maarufu wa Chadema katika Jimbo hilo George Gunda.

Akizungumza katika mkutano huo Kamanda George alishambulia CCM kwa umaskini wa wananchi na sera mbovu za huduma ya Afya.

Kamanda George pia alilaani CCM kutukana matusi viongozi wa Chadema wakati walipohutubia jimboni humo.

Kamanda George ambaye ni mwiba kwa CCM na amekuwa akiwatia sana ujasiri vijana wa jimbo hilo aliwataka wananchi wajiandae kuing'oa CCM katika chaguzi zote zijazo wakianzia na Serikali za Mitaa.

Naye Mwita Waitara aliyekuwa mgeni Rasmi ameendelea kuzungumzia umuhimu wa wananchi kujitambua na kuikataa CCM huku akifurahishwa na umati mkubwa wa watu waliojitokeza.

Waitara pia alizungumzia umuhimu wa wananchi kuunganisha nguvu katika suala la Katiba mpya na kuunga mkono Rasimu ya Tume ya Warioba ambapo umati mkubwa ulipiga kelele kwamba unataka Serikali Tatu.

Baadaye mamia ya wananchi wamechukua kadi mpya za Chadema huku wengine wengi wakirudisha kadi za CCM.

Kati ya waliorudisha kadi ni vijana zaidi ya 20 waliopewa kadi za CCM wiki mbili tu zilizopita na Katibu Mkuu wa CCM alipotembelea Kata hiyo.
 
Umati mkubwa wa wananchi uliofurika katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA Kata ya Nkungi Jimbo la Iramba Mashariki leo umesababisha shughuli zote kusimama kwa zaidi ya saa tatu.

Mkutano huo ulihutubiwa na viongozi kadhaa wa kitaifa na mkoa wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera na Utafiti Mwita Mwikabe Waitara na Kamanda maarufu wa Chadema katika Jimbo hilo George Gunda.

Akizungumza katika mkutano huo Kamanda George alishambulia CCM kwa umaskini wa wananchi na sera mbovu za huduma ya Afya.

Kamanda George pia alilaani CCM kutukana matusi viongozi wa Chadema wakati walipohutubia jimboni humo.

Kamanda George ambaye amekuwa akiwatia sana ujasiri vijana wa jimbo hilo aliwataka wananchi wajiandae kuing'oa CCM katika chaguzi zote zijazo wakianzia na Serikali za Mitaa.

Naye Mwita Waitara aliyekuwa mgeni Rasmi ameendelea kuzungumzia umuhimu wa wananchi kujitambua na kuikataa CCM huku akifurahishwa na umati mkubwa wa watu waliojitokeza.

Baadaye mamia ya wananchi wamechukua kadi mpya za Chadema huku wengine wengi wakirudisha kadi za CCM.

Kati ya waliorudisha kadi ni vijana zaidi ya 20 waliopewa kadi za CCM wiki mbili tu zilizopita na Katibu Mkuu wa CCM alipotembelea Kata hiyo.
mnajifariji wenzenu wana dola; wapinzani wakichukua nchi jeshi itachukua hatamu ya uongozi wa nchi
 
Ingependeza ungesaport na picha ili mzee wa pembe azimike
 
Safi sana makamanda george na waitara.

kazi ya ukombozi iendelee, tutafika tu na nchi yangu pendwa itakombolewa. Kinana alijifanya kutoa kadi kwa mbwembwe zote kumbe vijanna walikuwa wanamlia timing tu.

Pamoja sana hawa interahamwe wataisoma namba
 
Hivi angekufa mama yake ni kiongozi yoyote wq Chadema kutoka kaskazini mikutano ya chama ingeendelea.
 
Hawahitaji kura zao na wakitoka CCM sawa tu hawahitajiki.
 
Hivi angekufa mama yake ni kiongozi yoyote wq Chadema kutoka kaskazini mikutano ya chama ingeendelea.

Walikufa watoto zaidi ya ishirini Shauri Tanga Rais akaenda kuhudhuria kuapishwa kwa Mandela! Maisha lazima yaendelee!
 
Chadema wamefiwa na kiongozi wao lakini bado wanaendelea kufanya mikutano au hana umuhimu wowote.
 
Walikufa watoto zaidi ya ishirini Shauri Tanga Rais akaenda kuhudhuria kuapishwa kwa Mandela! Maisha lazima yaendelee!
Kwa hiyo mna copy na kupeste kutoka CCM.
 
Hawana lolote hao na siasa zao za kurithishana km wanawake wa kihindi.
CDM Mpango mzima
Peoplessssssss
 
Chadema wamefiwa na kiongozi wao lakini bado wanaendelea kufanya mikutano au hana umuhimu wowote.

Wananchi walisimama kwa Dakika moja kumuombea Marehemu huku Bendera zikipepea nusu mlingoti mkutanoni!
 
Hongereni chadema kwa kufanikiwa kazi ya kumuua mama yake zitto.
 
Leo chadema wanasherekea mafanikio ya kazi yao waliyohangaika nayo mda mrefu bila mafanikio.rest in peace mama zitto
 
Leo molemo ana raha ya ajabu moyoni mwake, pamoja dr slaa na mbowe. Ndio mana wanashusha threds nyingi nyingi kukisifia chama
 
Back
Top Bottom