kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Unafiki mtupu, watu wanakwenda kujifunza yeye anawawekea kauzibe haoni mjiwa wa MOSHI ulivyo safi? aende akamzuie vasco da gama kutumia fedha za umma kukodi wanamziki wakawaburudishe nyumba ndogo zao huko marekani na uingereza. mbona vasco dagama katumia ndege ya serikali kwenda kumnasua rizmoja huko uchina aliko kamatwa na madawa?
Mkuu hapo kwenye RED ebu anzisha thread juu ya habari hii tuichangie imenigusa sana, kumbe ujio wa wachina kwa wingi Nchi hii kuna siri kubwa nyuma ya pazia.