CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

Tangu nasoma nimesikia watu wakikwepa kufundishwa kutumia vyoo.Ila siku zote nimeona vyoo vikiharibika na kuachwa vimejaa uchafuu hata kwa majengo mapya.Acheni upuuzi tumechoka na excuse zenu kuwa mnajua tumia vyoo just because mmezaliwa mjini na nyumbani vipo?Nyumbani mnaishia wasingizia mabinti na vijana wa kazi kuwa ndio hawajui tumia just because wametoka vijijini.MOshi is there because usafi kwao ni kitu muhimu sana.

Iam happy nilipitia ktk mazingira ya wenzetu ,nilijifunza tumia vyoo, kukaa mezani na mengine ambayo wanangu nao wanayapitia sasa.

Wabongo hawajui basic things kwa vile wanaviacha wakidhani wanavijua.Wenzetu hutatua mambo makubwa kwa kujifunza madogo.If CDm could boost revenue to 400mil toka 70mil.Why then mna complain?

Mkuu wa mkoa hawezi kuja na better ways ya kusave kiasi chini ya hizo 200mil.

Issue hapa sio kujifunza ila tunajifunza kwa style gani. Sidhani kama ni busara madiwani wote kuandamana kwenda huko Rwanda. Aende Bibi au Bwana afya na afisa mipango miji then waje wawaelimishe hao waliobaki wakiwamo madiwani vyote walivyojifunza huko.

Sidhani kama ni justifiable kwamba kwa vile CHADEMA wamekusanya hela nyingi Moshi ndo wazitumie hovyo. Tuwe wakweli kama tunataka kuiendeleza hii nchi
 
Issue hapa sio kujifunza ila tunajifunza kwa style gani. Sidhani kama ni busara madiwani wote kuandamana kwenda huko Rwanda. Aende Bibi au Bwana afya na afisa mipango miji then waje wawaelimishe hao waliobaki wakiwamo madiwani vyote walivyojifunza huko.

Sidhani kama ni justifiable kwamba kwa vile CHADEMA wamekusanya hela nyingi Moshi ndo wazitumie hovyo. Tuwe wakweli kama tunataka kuiendeleza hii nchi

hembu toa njia mbadala kwa maelezo mazuri,kama wataenda hao wachache hao wengine watapataje hiyo elimu kwa ajili ya kwenda itoa ktk kata zao?
 
Ndugu zangu madiwani wa CHADEMA Moshi, kwa hiyo kama huyo Rais wa CCM anatangatanga hovyo kwa kufuja hela za wananchi na sisi CDM ndo tutangetange na kula hela za wananchi bila sababu? Hivi kweli tunahitaji madiwani wote kwenda Rwanda kujifunza usafi? hatuoni aibu? Tuache masihara jamani na tufanye mambo yenye msingi. Bora mngesema hata mnatumia hizo hela kukusanya nguvu ya wananchi wajitolee kufanyia usafi jiji la Moshi walau kwa siku mbili then muwanunulie chakula wale.

Kila mtu anajua usafi, tusidanganyane kwamba tunaenda kujifunza Rwanda. Mtoto akijinyea na wewe mtu mzima ukajinyea wakati unajua kabisa sio sahihi, sisi watu wazima wenzio tutakushangaa sana.

CHADEMA msiingie kwenye mkumbo wa CCM wa kufuja hela za wananchi bila sababu.

mkuu unahitaji ushauri wa kitaalamu ili uelewe wanaenda kujifunza nini.usafi wanaoenda kujifunza (sio kama wa nyumbani) kufagia na kuzoa taka.kumbuka kama manispaa kuna taka za aina nyingi mfano chemicals,taka zinazozalishwa kutoka kwenye zahanati na hospitals,viwandani, sokoni,majumbani etc.collectively wanazifanyia nini..recycling,disposal etc.let them go.we can judge from the result.
 
hembu toa njia mbadala kwa maelezo mazuri,kama wataenda hao wachache hao wengine watapataje hiyo elimu kwa ajili ya kwenda itoa ktk kata zao?

Mbona njia mbadala nimeshaitoa kwenye comment yangu. Nilichoshauri ni kwamba waende hao wachache halafu waje wawafundishe hao wengine wakiwamo madiwani. Njia hii itasaidia kupunguza gharama na vile vile elimu itaenea kwa wengi zaidi.
 
Hata kama wanaenda kujifunza usafi wa aina gani hakuna sababu ya hao wote kuandamana mpaka Rwanda. Kwani wakienda wachache hawawezi kuja kuwapa hiyo elimu ya recycling wengine.

Alternatively wanaweza kumgharamia mtaalam mmoja kutoka huko Rwanda aje atoe hiyo elimu Tanzania. Hakuna justification ya kubeba timu ya watu zaidi ya kumi eti wanaenda kujifunza usafi, noooooooo...
 
chama cha demokrasia na maendeleo kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu kimemjibu mkuu wa mkoa bwana gamma katika mkutano ambao haujaonekana mkoani kilimanjaro baada ya uchaguzi mkuu kwa kueleza kinaga ubaga kuhusu ziara ya madiwani kwenda mafunzoni nchini rwanda.

Akitoa ufafanuzi hatua kwa hatua huku akishangiliwa na umati wa wananchi meya wa manispaa ya moshi michael jaffary alimtuhumu mkuu wa mkoa kwa unafiki na kufanya mambo aliyotumwa na ccm ili kuiharibu na kuichonganisha na wananchi chadema mkoani huko,alimhakikishia mkuu wa mkoa kuwa hakuna ufisadi kwa kuwa safari yote inajulikana ofisi ya waziri mkuu,mkuu wa mkoa mwenyewe na kuwa haitafutwa na iko palepale.

Akafafanua kuwa hizo ni hasira za kufichuliwa ufisadi mkubwa katika miradi ya mabango ambapo manispaa ilikuwa inapata mil 70 nyingine zinaingia mifukoni mwa mafisadi,baada ya kuwabana sasa hivi mabango yanaingiza 400mil.

Akawataka uvccm kuandamana kwa ufisadi mkubwa unaofanywa na serikali yao kwa rais kukaa hoteli za dola 10000 na timu za watu 20 na zaidi.

Amewahakikishia wana kilimanjaro kuwa cdm haiwezi kuwasaliti na kamwe wasidanganywe na ccm.

Walifanya ziara japan kwa kodi za walipa kodi wa japan na sasa imefikia mahali manispaa imeamua kwa makusudi ya maendeleo na usafi wa mji wa moshi kwenda kujifunza kwa wenzao.



kumbe povu lote ni kwa kua gama aliwanyima ulaji??
Nini tofauti ya chadema na mafisadi sasa,,
njaa mbaya sana na sio vema kumwombea adui yako aipate inakua si ubinadam
 
Safari hii ya kwenda kujifundisha usafi Rwanda ina harufu ya ufisadi na kuonyesha unafiki wa chadema! nasema sababu hakuna ushahidi wowote wa kuifanya Rwanda kuwa ni wasafi sana kuliko wa TZ! chambilicho mji wa Moshi ambao unaongoza kwa usafi TZ!Sasa Chadema wakituambia wanakwenda kujifunza usafi, ni usafi gani huo toka kwa watusi? Pili chadema wanataka kuitumia safari hiyo kisiasa zaidi sababu ni baraza la manispaa lililopita la CCM ndilo lililobuni mikakati ya usafi kwa Mji wa Moshi toka miaka ya tisini na baadhi ya mikakati hiyo ni faini ya sh. elfu hamsini.Ukitupa takataka au kutema mate katikati ya mji wa Moshi!!Chadema walipodhibiti manispaa ya Moshi baada ya uchaguzi wa 2010 walirithi sheria hii madhubuti toka Serikali ya manispaa ya iliyokuwa na madiwani wengi wa CCM!!Sasa kama sheria ya usafi ipo tangu enzi za CCM, na utekelezaji wake umezaa matunda ya Nji wa Moshi kuwa msafi. Chadema wanashinikiza safari hii ya Rwanda kwa faida ya nani? Jee, ni Serikali ya Rwanda ndio inagharimikia safari yao au ni kodi za wananchi wetu?Kama Chadema imeshindwa kubuni mbinu na mikakati ya kuendeleza mji wa Moshi na kuwaletea maendeleo wananchi basi wasituletee mbinu chafu za safari hewa na wakiendelea na shinikizo hili basi wajue litawagharimu uchaguzi wa 2015.Kwani tangia hapo wananchi wa Manispaa ya Moshi wamekata tamaa na baraza hili la manispaa chini ya Chadema kwa kuongezeka kodi nyingi za biashara, wamachinga kufurushwa ktk maeneo yao ya biashara, kuvunjwa ovyo nyumba za wananchi wanaokarabati nyumba zao na kuachiwa tu wale wanaowapa hongo baadhi ya madiwani wakiongozwa na Meya wao!Meya huyu ni mshauri na mlezi wa makundi ya kiharamia yanayohusika na mauaji mbalimbali mjini Moshi na wala Serikali haichukui hatua yoyote dhidi ya Meya huyu anaehusishwa na mauaji ya wafanyabiashara 2 ktk kata ya Pasua mwezi wa 6 mwaka huu!!!!Wananchi wa Manispaa ya Moshi hawako radhi kwa ufisadi huu wa Chadema na tunamuomba Waziri anaehusika na Serikali za Mitaa kuingilia kati ili azuie safari hii hewa ya viongozi wa Chadema!!!
 
Safari hii ya kwenda kujifundisha usafi Rwanda ina harufu ya ufisadi na kuonyesha unafiki wa chadema! nasema sababu hakuna ushahidi wowote wa kuifanya Rwanda kuwa ni wasafi sana kuliko wa TZ! chambilicho mji wa Moshi ambao unaongoza kwa usafi TZ!Sasa Chadema wakituambia wanakwenda kujifunza usafi, ni usafi gani huo toka kwa watusi? Pili chadema wanataka kuitumia safari hiyo kisiasa zaidi sababu ni baraza la manispaa lililopita la CCM ndilo lililobuni mikakati ya usafi kwa Mji wa Moshi toka miaka ya tisini na baadhi ya mikakati hiyo ni faini ya sh. elfu hamsini.Ukitupa takataka au kutema mate katikati ya mji wa Moshi!!Chadema walipodhibiti manispaa ya Moshi baada ya uchaguzi wa 2010 walirithi sheria hii madhubuti toka Serikali ya manispaa ya iliyokuwa na madiwani wengi wa CCM!!Sasa kama sheria ya usafi ipo tangu enzi za CCM, na utekelezaji wake umezaa matunda ya Nji wa Moshi kuwa msafi. Chadema wanashinikiza safari hii ya Rwanda kwa faida ya nani? Jee, ni Serikali ya Rwanda ndio inagharimikia safari yao au ni kodi za wananchi wetu?Kama Chadema imeshindwa kubuni mbinu na mikakati ya kuendeleza mji wa Moshi na kuwaletea maendeleo wananchi basi wasituletee mbinu chafu za safari hewa na wakiendelea na shinikizo hili basi wajue litawagharimu uchaguzi wa 2015.Kwani tangia hapo wananchi wa Manispaa ya Moshi wamekata tamaa na baraza hili la manispaa chini ya Chadema kwa kuongezeka kodi nyingi za biashara, wamachinga kufurushwa ktk maeneo yao ya biashara, kuvunjwa ovyo nyumba za wananchi wanaokarabati nyumba zao na kuachiwa tu wale wanaowapa hongo baadhi ya madiwani wakiongozwa na Meya wao!Meya huyu ni mshauri na mlezi wa makundi ya kiharamia yanayohusika na mauaji mbalimbali mjini Moshi na wala Serikali haichukui hatua yoyote dhidi ya Meya huyu anaehusishwa na mauaji ya wafanyabiashara 2 ktk kata ya Pasua mwezi wa 6 mwaka huu!!!!Wananchi wa Manispaa ya Moshi hawako radhi kwa ufisadi huu wa Chadema na tunamuomba Waziri anaehusika na Serikali za Mitaa kuingilia kati ili azuie safari hii hewa ya viongozi wa Chadema!!!
Unaongelea moshi ipi wewe na ugamba wko unajua kilichojiri leo kati ya madiwan na mkurugenz au unaropoka 2 bila sababu?
 
kikwete huwa anasafar ngapi kwa wik? anatumia kias gani kila safar? safar ngap zinazaa na zip hazizai? iweje cdm?
 
Unaongelea moshi ipi wewe na ugamba wko unajua kilichojiri leo kati ya madiwan na mkurugenz au unaropoka 2 bila sababu?

Mkuu jibu hoja kama unazo! kama huna nyamaza kwani kauli za utumbo utumbo na matusi hazisaidii bali zinakudhalilisha!!!
 
Mkuu jibu hoja kama unazo! kama huna nyamaza kwani kauli za utumbo utumbo na matusi hazisaidii bali zinakudhalilisha!!!
Tusi liko wapi hapo kama hujui utaratibu unaotumika kuhusiana na safar za mafunzo za madiwani subiria utaona kitakachotokea
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu kimemjibu mkuu wa mkoa Bwana Gamma katika mkutano ambao haujaonekana mkoani Kilimanjaro baada ya uchaguzi mkuu kwa kueleza kinaga ubaga kuhusu ziara ya madiwani kwenda mafunzoni nchini Rwanda.

Akitoa ufafanuzi hatua kwa hatua huku akishangiliwa na umati wa wananchi meya wa manispaa ya moshi MICHAEL JAFFARY alimtuhumu mkuu wa mkoa kwa unafiki na kufanya mambo aliyotumwa na CCM ili kuiharibu na kuichonganisha na wananchi CHADEMA mkoani huko,alimhakikishia mkuu wa mkoa kuwa hakuna ufisadi kwa kuwa safari yote inajulikana ofisi ya waziri mkuu,mkuu wa mkoa mwenyewe na kuwa haitafutwa na iko palepale.

Akafafanua kuwa hizo ni hasira za kufichuliwa ufisadi mkubwa katika miradi ya mabango ambapo manispaa ilikuwa inapata mil 70 nyingine zinaingia mifukoni mwa mafisadi,baada ya kuwabana sasa hivi mabango yanaingiza 400mil.

Akawataka UVCCM kuandamana kwa ufisadi mkubwa unaofanywa na serikali yao kwa rais kukaa hoteli za dola 10000 na timu za watu 20 na zaidi.

Amewahakikishia wana Kilimanjaro kuwa CDM haiwezi kuwasaliti na kamwe wasidanganywe na CCM.

Walifanya ziara Japan kwa kodi za walipa kodi wa Japan na sasa imefikia mahali manispaa imeamua kwa makusudi ya maendeleo na usafi wa mji wa Moshi kwenda kujifunza kwa wenzao.
haya nendeni mkajifunze kufagia huko Rwanda kwa sh. Mil 200 ambazo ni kodi zetu. kweli wewe ni taahira. sioni hata unachotetea.
 
mzee wa matanuzi mara bembea mara gari ya kukokotwa na farasi aka punda
 
Back
Top Bottom