Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,516
Usisi tu!But why though?
Usisi tu!But why though?
Nyalandu anataka kugombea urais kwa tikiti ya CDM...hii sio habari nzuri kwa Lissu.I,honestly,smell a rat. Politics....abrakadabra!
Ulichoandika hakiwezi kumpendeza Lissu hata kidogo.Joshua Nassari amuombe radhi Lazaro Nyalandu kwa Matusi na kashfa zake kule Bungeni kipindi kule akiwa Waziri wa Maliasili maana huenda akateuliwa kuwa Lowassa 2020
Bora wamsimamishe ZittoLabda huyu atakuwa mgombea mwenza 2020....manake hawa CHADEMA ni watu wasioeleweka kabisa.
Yangu ni tahadhari tu-tusije takafikia hali ambayo ni vigumu kujua tofauti kati ya CCM na CDM.
Kama hamtampeleka mahakamani, mbona atang’ara kabisa kama theluji?Mapovu yanaandaliwa kumsafisha shujaa mpya nyalandu.
Jerry Muro na le mutuz wakiongozwa na Bashite Maliyamungu wapo busy mda huu kumtengenezea Zengwe, kumpakazia kila Aina ya ubaya, Uzushi mwingi na kuna moja inapangwa akamatwe Airport pindi akiwa anasafiri awekewe Dawa za kulevya au Madini, Siri nyingi huvuja pindi Le mutuz akiwa bar analewa hasa mara nyingi akiwa na mchepuko huropoka sana.
Karuka Mkojo na kukanyaga Kinyesi
Makaburi yatafukuliwa tu lakini sjui kama ukahaba nitauacha
LolLabda huyu atakuwa mgombea mwenza 2020....manake hawa CHADEMA ni watu wasioeleweka kabisa natafuta mume jamani
.
Enzi zile mlitaka mpaka nyeupe a.k.a mamvi auawe kwa kuchomwa moto kwa sababu ni jizi, enzi zile mlitaka Mwizi nyalandu aondoshwe kwenye uwaziri ili ajibu tuhuma za kufilisi maliasili zetu, enzi zile mliaminisha watu mafisadi kiboko yake ni upinzani, leo mnakaribisha jizi na fisadi kama nyalandu?? Hahaha kweli upinzani ni muunganiko wa wezi, na msahau kabisa kuongoza nchi hii, mtakufa na nchi mtaiacha na itaendelea kuongozwa na CCM!Safi sana kwani hilo ndio jibu sahihi kabisa. Chama ni watu na bila watu hatuna chama.
Lisu anaenda wapiMole anapandikizwa kuja kukaba nafas ya Lisu
Makapi hutemwaKwao wananunua kwetu wanakuja wenyewe
Swissme