johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
- Thread starter
- #41
Labda wamesahau!sijui wamemsahau au ndo hivyo nafsi zinawasuta
Labda wamesahau!sijui wamemsahau au ndo hivyo nafsi zinawasuta
ninachojua mimi ni kwamba, waliosemekana walimuua walikamatwa, walishitakiwa na walitiwa hatiani. ila kiundani zaidi sijui. pamoja na kwamba huwa sielewi kwanini watu wakihama icho chama huwa wanajawa na hofu kuu.
eg. Dr. slaa hadi aliomba alindwe na serikali, yaani, mkosoaji, mtukanaji na adui wa serikali alikuja kuomba msaada kwa serikali imlinde, kuna siri gani alikuwa anaijua ambayo watu walikuwa wanafanyiwa na yeye aliogopa angefanyiwa?, nini alikuwa anakijua kingefuata na aliogopa nini? Zito alitishia mambo ya kichawi kwa atakayemdhuru, Ben Saanane alikuwa msaidizi wa mbowe lakini jitihada za mbowe kushadadia issue yake haikuwa ya kutosha kwa mtu aliyekuwa msaidizi wake ambaye yeye ndio angekuwa na uchungu usio na woga kwa lolote kwa kupotea kwake, he is always silent about this matter, kuna mengi. sinyooshei kidole ila huwa nasema huwa sielewi. ni maswali yanayotakiwa kujibiwa na wao wenyewe ili wananchi tusiwe na doubts. hivi kweli msaidizi wako anaweza kupotea halafu ukamute tu au ukaongea kama kawaida tu na kunyamaza? kweli Dr. slaa aliyekuwa na power namna ile aombe msaada wa ulinzi toka ccm?hahaha.