comred
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 1,867
- 1,606
jamani ndo wanataka kujenga ofisi
mbona makubwa/ miaka yote mlikua wapi?
chama hakina makao ya kudumu!??
Ache Umbea..bi.dada..
Japo upo sahihi..
jamani ndo wanataka kujenga ofisi
mbona makubwa/ miaka yote mlikua wapi?
chama hakina makao ya kudumu!??
Yaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!
Safari ya ujerumani wamerudi mikono mitupu.Wajerumani wamewahoji pesa zetu tulizowapa mumezipeleka wapi wakati tukija hata ofisi hamna mnatupeleka mahotelini ndio tuongee hamtupeleki ofisini kwenu.Hawajapata pesa haoooooo.Ndio na UKUTA ukaihirishwa kwa kuwa porojo zao za kupata pesa kwa kisingizio cha kugharimia maandamano kukwama na kugonga UKUTA original wa Wajerumani.
Wajerumani wamewasoma na kuwaelewa kuwa ni matapeli wa kisiasa.
Sasa hivi ndio wanaibuka kusema tutajenga ofisi !!!! Baada ya wazungu kuwapiga chini!!!
Miaka zaidi ya 20 toka CHADEMA ianzishwe bado wanajipanga kujenga ofisi ya makao makuu!!!! Hata kama ni kupanga CHADEMA wanatia aibu.Hivio Chama kikubwa kama hicho waweza panga kajumba kama haka uswahilini kuwa ndio ofisi ya makao makuu?
![]()
una uhakika au unaropoka tu!! ?? CCM ina miradi mikibwa wewe!!
Majengo yote ya CCM ilikuwa jasho la wafanyakazi na wakulima wakikatwa kila mwezi kujenga ofisi za chama na serikali.Kwa uhalali kabisa majengo yote na viwanja vyote vya CCM vilitakiwa kurudi serikalini.
Hesabu kuanzia mwaka 1965 nchi ilipokuwa chini ya Chama kimoja hadi 1992. CCM iliundwa mwaka 1977 na ilizikuta ofisi.Kwani ofisi za kwanza za ccm zilijengwa lini?
Kwani ofisi za kwanza za ccm zilijengwa lini?[/QUOTE
Yaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!
Wao wanajenga kwa jasho lao, nyie mlijengewa na wachina baada ya kuwapa gesi bure.
unataka kusema CCM ofisi zile zile za tanu ndio zitumikazo hadi leo?Hesabu kuanzia mwaka 1965 nchi ilipokuwa chini ya Chama kimoja hadi 1992. CCM iliundwa mwaka 1977 na ilizikuta ofisi.
Kwani hilo jengo la makao makuu ya CHADEMA mnapanga kwa pesa zipi za kwenu? si hizo hizo za jasho la wakulima na wafanyakazi mnazochota hazina kama ruzuku ambazo ni kodi wanazokatwa wakulima na wafanyakazi?
Sijazungumza kuongeza ofisi, nazungumzia fursa walizonazo CCM kama chama kilichoshika dola tangu uhuru. Rasilimali walizopata kwa mgongo wa serikali tangu wakati huo ni nyingi ukiachilia mbali ruzuku ambalo ndio tegemeo kuu la hivi vyama vingine. Sasa kulinganisha CCM na chama cha 1992 kwa uwingi wa rasilimali ni uchache wa akili.unataka kusema CCM ofisi zile zile za tanu ndio zitumikazo hadi leo?
Hakuna zilizoongezwa?
Ilichukua majengo ya serikali.Hesabu kuanzia mwaka 1965 nchi ilipokuwa chini ya Chama kimoja hadi 1992. CCM iliundwa mwaka 1977 na ilizikuta ofisi.
Ccm...ofisi zao za kata za kupora kwa watu...kata nilipo kuna mgogoro ccm inagomea nyumba na kiwanja eti ni chao....mwenye miliki analalamika asikilizwi....na ccm hawajawahi kujenga tofauti na kutaifisha viwanja na majumba...au mtu ( kada) kujitoa kuwapa chumba...na ujenzi wa chimwaga ni kodi zetu..mnatoa kwenye mifuko ya jamii mnajenga...bora chadema wanajenga kwa hisani ya wanaokipenda chamaYaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!
Kwani kujenga ofisi unahitaji vitu gani??Sijazungumza kuongeza ofisi, nazungumzia fursa walizonazo CCM kama chama kilichoshika dola tangu uhuru. Rasilimali walizopata kwa mgongo wa serikali tangu wakati huo ni nyingi ukiachilia mbali ruzuku ambalo ndio tegemeo kuu la hivi vyama vingine. Sasa kulinganisha CCM na chama cha 1992 kwa uwingi wa rasilimali ni uchache wa akili.
Kwa kweli CCM na CDM havina tofauti, ni vyama vya wachumia tumbo tu.Huwa nashindwa kuitofautisha CCM na CDM.
Acha kujifanya huelewi wewe. Or maybe huelewi kweli nchi ilitoka wapi na iko wapi na huenda wahitaji shule kujua maana ya 'Monopartism'. Si kosa lako.Kwani kujenga ofisi unahitaji vitu gani??
Basi tusubiri chadema wachukue utawala ili wapate rasilimali za kujengea ofisi.
Yani mfumo wa chama kimoja kuandika kwa kingereza ndo unaona unashule.Acha kujifanya huelewi wewe. Or maybe huelewi kweli nchi ilitoka wapi na iko wapi na huenda wahitaji shule kujua maana ya 'Monopartism'. Si kosa lako.