CHADEMA yajipanga kujenga ofisi

CHADEMA yajipanga kujenga ofisi

Yaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!

Nyie Majengo yenu mlijenga lini?Hebu jiulize CCM ina majengo?Yapi?Majengo yote yaliyojengwa yalitakiwa yawe serikali baada tu ya vyama vingi kuingia.Maana kulikuwa hakuna tofauti ya asset za chama na serikali.CCM ni majambazi wamekwiba mali zetu tulizochangia kuzijenga
 
Safari ya ujerumani wamerudi mikono mitupu.Wajerumani wamewahoji pesa zetu tulizowapa mumezipeleka wapi wakati tukija hata ofisi hamna mnatupeleka mahotelini ndio tuongee hamtupeleki ofisini kwenu.Hawajapata pesa haoooooo.Ndio na UKUTA ukaihirishwa kwa kuwa porojo zao za kupata pesa kwa kisingizio cha kugharimia maandamano kukwama na kugonga UKUTA original wa Wajerumani.
Wajerumani wamewasoma na kuwaelewa kuwa ni matapeli wa kisiasa.

Sasa hivi ndio wanaibuka kusema tutajenga ofisi !!!! Baada ya wazungu kuwapiga chini!!!

Miaka zaidi ya 20 toka CHADEMA ianzishwe bado wanajipanga kujenga ofisi ya makao makuu!!!! Hata kama ni kupanga CHADEMA wanatia aibu.Hivio Chama kikubwa kama hicho waweza panga kajumba kama haka uswahilini kuwa ndio ofisi ya makao makuu?

b1.jpg

Tuonyeshe majengo mawili tu CCM iliyojenga.Miaka 55 CCM imejenga wapi?Majengo yote ya CCM ilikuwa jasho la wafanyakazi na wakulima wakikatwa kila mwezi kujenga ofisi za chama na serikali.Kwa uhalali kabisa majengo yote na viwanja vyote vya CCM vilitakiwa kurudi serikalini.
 
una uhakika au unaropoka tu!! ?? CCM ina miradi mikibwa wewe!!

Pengine ulikuwa hujazaliwa wakati CCM ikijichotea hela pale hazina mpaka ilipozuiliwa na wafadhili mwaka 1992. CCM haijawahi kuwa na mradi hata mmoja wenye tija. Nikuulize unaijua SUKITA?
 
Majengo yote ya CCM ilikuwa jasho la wafanyakazi na wakulima wakikatwa kila mwezi kujenga ofisi za chama na serikali.Kwa uhalali kabisa majengo yote na viwanja vyote vya CCM vilitakiwa kurudi serikalini.

Kwani hilo jengo la makao makuu ya CHADEMA mnapanga kwa pesa zipi za kwenu? si hizo hizo za jasho la wakulima na wafanyakazi mnazochota hazina kama ruzuku ambazo ni kodi wanazokatwa wakulima na wafanyakazi?
 
Yaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!


mbona hushangai serikali yako ya ccm baada ya zaidi ya miaka 50 ndo wamenunua vibajaji viwili vya juu majuzi?
 
Hesabu kuanzia mwaka 1965 nchi ilipokuwa chini ya Chama kimoja hadi 1992. CCM iliundwa mwaka 1977 na ilizikuta ofisi.
unataka kusema CCM ofisi zile zile za tanu ndio zitumikazo hadi leo?

Hakuna zilizoongezwa?
 
Kwani hilo jengo la makao makuu ya CHADEMA mnapanga kwa pesa zipi za kwenu? si hizo hizo za jasho la wakulima na wafanyakazi mnazochota hazina kama ruzuku ambazo ni kodi wanazokatwa wakulima na wafanyakazi?

Tunapanga kwa pesa za Serikali ambazo hata CCM wanapata.ZIlizojenga Majengo na viwanja ni pesa za watanzania tulizokatwa kwenye mishahara yetu kwa nguvu.Majengo hayo na viwanja hivyo vilipaswa kurudi serikalini.
 
unataka kusema CCM ofisi zile zile za tanu ndio zitumikazo hadi leo?

Hakuna zilizoongezwa?
Sijazungumza kuongeza ofisi, nazungumzia fursa walizonazo CCM kama chama kilichoshika dola tangu uhuru. Rasilimali walizopata kwa mgongo wa serikali tangu wakati huo ni nyingi ukiachilia mbali ruzuku ambalo ndio tegemeo kuu la hivi vyama vingine. Sasa kulinganisha CCM na chama cha 1992 kwa uwingi wa rasilimali ni uchache wa akili.
 
Yaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!
Ccm...ofisi zao za kata za kupora kwa watu...kata nilipo kuna mgogoro ccm inagomea nyumba na kiwanja eti ni chao....mwenye miliki analalamika asikilizwi....na ccm hawajawahi kujenga tofauti na kutaifisha viwanja na majumba...au mtu ( kada) kujitoa kuwapa chumba...na ujenzi wa chimwaga ni kodi zetu..mnatoa kwenye mifuko ya jamii mnajenga...bora chadema wanajenga kwa hisani ya wanaokipenda chama
 
Sijazungumza kuongeza ofisi, nazungumzia fursa walizonazo CCM kama chama kilichoshika dola tangu uhuru. Rasilimali walizopata kwa mgongo wa serikali tangu wakati huo ni nyingi ukiachilia mbali ruzuku ambalo ndio tegemeo kuu la hivi vyama vingine. Sasa kulinganisha CCM na chama cha 1992 kwa uwingi wa rasilimali ni uchache wa akili.
Kwani kujenga ofisi unahitaji vitu gani??

Basi tusubiri chadema wachukue utawala ili wapate rasilimali za kujengea ofisi.
 
Kwani kujenga ofisi unahitaji vitu gani??

Basi tusubiri chadema wachukue utawala ili wapate rasilimali za kujengea ofisi.
Acha kujifanya huelewi wewe. Or maybe huelewi kweli nchi ilitoka wapi na iko wapi na huenda wahitaji shule kujua maana ya 'Monopartism'. Si kosa lako.
 
Acha kujifanya huelewi wewe. Or maybe huelewi kweli nchi ilitoka wapi na iko wapi na huenda wahitaji shule kujua maana ya 'Monopartism'. Si kosa lako.
Yani mfumo wa chama kimoja kuandika kwa kingereza ndo unaona unashule.

Watu wana tembelea magari ya mamilioni,wanamiliki majumba ya kifahari kujenga ofisi ndo kuwashinde.

Watake kutuchangisha sisi wafia chama wakipato duni.
 
Mtabeza lakini CDM wanaenda vizuri. Suala la ofisi za wilaya/majimbo ni muhimu sana. Sio Ofisi tu hata chuo cha mafunzo mafupi ya siasa na uongozi kijengwe ili kupiga msasa viongozi maslahi ambao ni wengi chamani!
 
kama kuna mpango wa ccm kuuza jengo lao la lumumba kama chuma chakavu wawajulishe CHADEMA watalinunua fasta ili wale wazururaji a.k.a buku 7 waende kulima.
 
Back
Top Bottom