Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Swali zuri sana.Ofisi itajengwa wapi Makao Makuu wapi?
Swali zuri sana.Ofisi itajengwa wapi Makao Makuu wapi?
mwelekeo wao sio mbaya pamoja na kubanwa na magufuli. nadhani umewapa wazo chokozi kwa wakati wakeTangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu mwaka jana ambao tulishuhudia upinzani ukiimarika kwa kupata wabunge wengi, pia mgombea urais wa upinzani Eduard Lowassa alipata kura zaidi ya milioni sita nyuma ya mshindi John Magufuli aliyepata zaidi ya kura milioni nane, matokeo hayo yaliongeza ruzuku kutoka kwa serikali, mara baada ya Magufuli kuapishwa kuwa rais wa awamu ya tano alipiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa, mwaka mmoja umeisha tangu marufuku hiyo, kwa maana hiyo vyama vinapokea ruzuku bila kuzitumia kwa operesheni mbalimbali, kwa msingi huo nakishauri Chadema kwa sababu kinapokea pesa nyingi za ruzuku kizitumie kujenga ofisi ya makao makuu yanayoendana na hadhi ya chama.
hadhi ya Chadema ni mamiliomi ya watanzania wanaokiunga mkonoKwani hadhi ya Chadema ni Kama Tshs Ngapi?
CCM ruzuku yao wamejenga nini? Ofisi za CCM zote zilijengwa enzi za Chama kimoja kwa nguvu za wananchi wote na wafanyakazi walikuwa wakikatwa mishahara yao kuchangia ujenzi wa ofisiTangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu mwaka jana ambao tulishuhudia upinzani ukiimarika kwa kupata wabunge wengi, pia mgombea urais wa upinzani Eduard Lowassa alipata kura zaidi ya milioni sita nyuma ya mshindi John Magufuli aliyepata zaidi ya kura milioni nane, matokeo hayo yaliongeza ruzuku kutoka kwa serikali, mara baada ya Magufuli kuapishwa kuwa rais wa awamu ya tano alipiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa, mwaka mmoja umeisha tangu marufuku hiyo, kwa maana hiyo vyama vinapokea ruzuku bila kuzitumia kwa operesheni mbalimbali, kwa msingi huo nakishauri Chadema kwa sababu kinapokea pesa nyingi za ruzuku kizitumie kujenga ofisi ya makao makuu yanayoendana na hadhi ya chama.
Nyie mmejenga offisi ipi kama si kurithi ofisi zilizojengwa na watu wote wakati wa chama kimojaYaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!