Yaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!
Msiwe mnatumia masaburi kufikiri, hivi unafikiri CCM ingepewa miaka 20 pekee itumie ruzuku pekee bila kutumia rasilimali za nchi kujijenga ingeweza kuwa hivi ilivyo? Kwanza inaonekana huwezi fikiri zaidi ya hapo 'ela' ndio nini?Fedha za Ruzuku, wabunge kukatwa Millioni 1.5 kwa mwezi sijui ela zote mnapeleka wapi
Msiwe mnatumia masaburi kufikiri, hivi unafikiri CCM ingepewa miaka 20 pekee itumie ruzuku pekee bila kutumia rasilimali za nchi kujijenga ingeweza kuwa hivi ilivyo? Kwanza inaonekana huwezi fikiri zaidi ya hapo 'ela' ndio nini?
Yaani baada ya miaka 20 ya chama ndio kwanza mnajipanga kujenga Ofisi Bora mimi sio mwanachama wa hiki chama kisicho na dira wala mwelekeo. Chadema ni kundi la watu waliokosa maono kabisa!
Chadema wezi tu,milioni 600 kwa mwezi mnataka majimbo yajenge ofisi kwa hela gani? Wanywa viroba wana hela gani ya kujenga ofisi
Mashinji anatakiwa ajenge kwanza makao makuu,halafu apeleke ruzuku majimboni
CCM ofisi yake ilijengwa na serikali. Hebu waambie serikali iwajengee na CHADEMA basi
Kwani ofisi za kwanza za ccm zilijengwa lini?Msiwe mnatumia masaburi kufikiri, hivi unafikiri CCM ingepewa miaka 20 pekee itumie ruzuku pekee bila kutumia rasilimali za nchi kujijenga ingeweza kuwa hivi ilivyo? Kwanza inaonekana huwezi fikiri zaidi ya hapo 'ela' ndio nini?