CHADEMA yaishika pabaya CCM Kinondoni

CHADEMA yaishika pabaya CCM Kinondoni

Unavimambo vya mashosti zako wa Tandale sana, mbona majungu wakati wewe ndo umeanzisha unajibiwa kwa hoja unaleta propaganda. Vipi umetumwa na wewe nini?

Hapo kwenye Red hapo,nimecheka mbaya!
 
Kila mahali CCM imeshikwa pabaya ndio maana inaangaika na Dr. Slaa badala ya kutumikia wananchi.
 
Kila mahali CCM imeshikwa pabaya kila mahali ndio maana inaangaika na Dr. Slaa badala ya kutumikia wananchi.
 
-CHADEMA ili kiwe chama kikuu cha upinzani na kiweze kuongoza harakati za kuiondoa CCM 2015 ni lazima kimsimamiahe Adui mkubwa wa CCM na mfumo wake Mbovu.Rafiki wa CCM hafai kusimama kama mgombea Urais

-Wana-CHADEMA tukubali kukosolewa kwa hoja zenye mantiki lakini pia tusikubali kupotoshwa.Hiyo ndiyo Demokrasia yenyewe

-Si jukumu la CCM kutuchagulia aina ya silaha za kuwapigia.Sisi ndio tunaojua ni silaha gani tuzitumie effectively.Ukiona adui yako anakuchagulia silaha ujue hiyo silaha ni dhaifu sana sana.Ni bora uichome moto kabisa ili siku moja usije ukajisahau na kuitumia.Ni bora isiwepo

Endelea kufunguka...
 
Ushauri wakp hauna nafasi ktk jamii ya wastaraabu na watu makini. Ushauri wako ni wa kwenye vijiwe vya kahawaizoendeshwa hapa JF kati ya DR na ZK ilikuwaje? Je hawa waliopiga hizo kura ni sehemu ya wapiga kura wa Tanzania? Kama ni sehemu ya wapiga kura utafiti wako unaufanyia wapi? Jambo lingine linalonipa wasiwasi juu ya mchango wako huu ni wewe kukiri kuwa bado upo kwenye Payrol ya mheshimiwa.[/QUOTE]
 
Ushauri wakp hauna nafasi ktk jamii ya wastaraabu na watu makini. Ushauri wako ni wa kwenye vijiwe vya kahawaizoendeshwa hapa JF kati ya DR na ZK ilikuwaje? Je hawa waliopiga hizo kura ni sehemu ya wapiga kura wa Tanzania? Kama ni sehemu ya wapiga kura utafiti wako unaufanyia wapi? Jambo lingine linalonipa wasiwasi juu ya mchango wako huu ni wewe kukiri kuwa bado upo kwenye Payrol ya mheshimiwa.
[/QUOTE]
mkuu weka hii vizuri tuelewe
 
Hii imekaa kifasihi zaidi,Ben ebu funguka zaidi tukuelewe
-CHADEMA ili kiwe chama kikuu cha upinzani na kiweze kuongoza harakati za kuiondoa CCM 2015 ni lazima kimsimamiahe Adui mkubwa wa CCM na mfumo wake Mbovu.Rafiki wa CCM hafai kusimama kama mgombea Urais

-Wana-CHADEMA tukubali kukosolewa kwa hoja zenye mantiki lakini pia tusikubali kupotoshwa.Hiyo ndiyo Demokrasia yenyewe

-Si jukumu la CCM kutuchagulia aina ya silaha za kuwapigia.Sisi ndio tunaojua ni silaha gani tuzitumie effectively.Ukiona adui yako anakuchagulia silaha ujue hiyo silaha ni dhaifu sana sana.Ni bora uichome moto kabisa ili siku moja usije ukajisahau na kuitumia.Ni bora isiwepo
 
Kwa hapa mkuu Pasco nitakuunga mkono,ila kwa Jimbo la Kawe bado Halima Mdee ana nguvu kubwa.
QUOTE="Pascal Mayalla, post: 5307301, member: 17813"]
Mkuu Molemo,
Taarifa za chini chini zimeshaanza kuenea kuwa mnataka kulitoa Kawe sadaka kama mlivyolitoa sadaka Tarime kwa kumuengua Charles Mwera?!.

Sio siri, hata wale posible candidates wanaounga mkono upinzani, hawathubutu kabisa kuliwazia jimbo la Kawe kwa sababu, Halima Mdee ni kama Komandoo!, hata kitendo cha Mbatia kutia pua was a mistake na aliijutia. Nilimshauri Dr, kwa ajili ya 2015, msisubiri kipenga cha NEC, anzeni ground work mapema ya head hunting posible serious candidates hata ikibidi ku groom, fanyeni grooming!. Muhakikishe mnaanza na uchaguzi wa serikali za mitaa 2014, simamisheni mtu kila kiti!. Kuna sehemu CCM imechokwa mpaka basi kiasi kwamba hata mkisimamisha jiwe litapita!.

Ila uchaguzi wa 2015 utakuwa mgumu kidogo kwa upande wenu, wenzenu CCM watasimama na track record ya visible developments wakati nyinyi mtasimama na ahadi za tumaini jipya!. Ahadi hizo lazima ziwe solid with justification: mfano mkisema Elimu bure mpaka chuo kikuu, mnakuja na data how much does it cost, na indication budget hiyo itotoka wapi au mpunguza matumizi gani that will save this much tutakayo itumia kwenye elimu bure etc!.

Merry X-mass
Pasco.
[/QUOTE]
Point taken Mkuu Pasco.Nikuhakikishie tena na naomba niamini kwamba Halima Mdee ni chuma cha Pua na Chadema kamwe haitathubutu kufanya majaribio Kawe.Ingawa kwa kusema hivi hatukumbatii udikteta wala kuwaogopesha wanachama wengine.Lakini ukweli ni lazima usemwe kwamba Halima Mdee ni kete ya Chadema Kawe kama Dr Slaa alivyo kete ya Chadema kwenye urais 2015.
That was then, 2020 hii ngoma chali!.
P
 
Back
Top Bottom