Kinondoni, mbona Azan
anamsukuma kama unasukuma mlevi!. Hata mimi ningekuwa Chadema nikasimama
Kinondoni, CCM Chali!.
Merry X-mass
Pasco.
Mkuu Molemo,
Taarifa za chini chini zimeshaanza kuenea kuwa mnataka kulitoa Kawe sadaka kama mlivyolitoa sadaka Tarime kwa kumuengua Charles Mwera?!.
Sio siri, hata wale posible candidates wanaounga mkono upinzani, hawathubutu kabisa kuliwazia jimbo la Kawe kwa sababu, Halima Mdee ni kama Komandoo!, hata kitendo cha Mbatia kutia pua was a mistake na aliijutia. Nilimshauri Dr, kwa ajili ya 2015, msisubiri kipenga cha NEC, anzeni ground work mapema ya head hunting posible serious candidates hata ikibidi ku groom, fanyeni grooming!. Muhakikishe mnaanza na uchaguzi wa serikali za mitaa 2014, simamisheni mtu kila kiti!. Kuna sehemu CCM imechokwa mpaka basi kiasi kwamba hata mkisimamisha jiwe litapita!.
Ila uchaguzi wa 3015 utakuwa mgumu kidogo kwa upande wenu, wenzenu CCM watasimama na track record ya visible developments wakati nyinyi mtasimama na ahadi za tumaini jipya!. Ahadi hizo lazima ziwe solid with justification: mfano mkisema Elimu bure mpaka chuo kikuu, mnakuja na data how much does it cost, na indication budget hiyo itotoka wapi au mpunguza matumizi gani that will save this much tutakayo itumia kwenye elimu bure etc!.
Merry X-mass
Pasco.
Mkuu Molemo, kwa Kawe mtakuwa mmefanya vema, ila kwenye kete ya urais kazi bado mnayo!. Kwanza nilizungumza naye (off the record), hivyo msimamo wake binafsi naujua!. Msimamo binafsi ni tofauti na matakwa ya Chama!.Point taken Mkuu Pasco.Nikuhakikishie tena na naomba niamini kwamba Halima Mdee ni chuma cha Pua na Chadema kamwe haitathubutu kufanya majaribio Kawe.Ingawa kwa kusema hivi hatukumbatii udikteta wala kuwaogopesha wanachama wengine.Lakini ukweli ni lazima usemwe kwamba Halima Mdee ni kete ya Chadema Kawe kama Dr Slaa alivyo kete ya Chadema kwenye urais 2015.
Point taken Mkuu Pasco.Nikuhakikishie tena na naomba niamini kwamba Halima Mdee ni chuma cha Pua na Chadema kamwe haitathubutu kufanya majaribio Kawe.Ingawa kwa kusema hivi hatukumbatii udikteta wala kuwaogopesha wanachama wengine.Lakini ukweli ni lazima usemwe kwamba Halima Mdee ni kete ya Chadema Kawe kama Dr Slaa alivyo kete ya Chadema kwenye urais 2015.
Mkuu Molemo, kwa Kawe mtakuwa mmefanya vema, ila kwenye kete ya urais kazi bado mnayo!. Kwanza nilizungumza naye (off the record), hivyo msimamo wake binafsi naujua!. Msimamo binafsi ni tofauti na matakwa ya Chama!.
Kwa political dynamics za 2015, chances yoyote ya mgombea huyo kushinda, determinant ni mgombea wa CCM, hivyo endeleeni kusali, CCM isimamishe weak candidate, ikisimamisha strong candidate, you are dead!.
Uchaguzi wa 2015 chini ya Katiba Mpya, mshindi wa urais anapatikana sio tuu kwa simple majority, bali kwa quota system yaanini lazima ushinde kwa theluthi moja ya kura kutoka pande zote za muungano!. Kwa mgombea huyo, sioni jinsi yoyote ya Chadema kuvuna theluthi moja ya kura za urais kutoka Zanzibar!. Hivyo mtaongoza bara, kwa kukosa Zanzibar, CCM mwenye theluthi kote ndio atatangazwa mshindi!.
Kuna uwezekano mkubwa mgombea wa CCM kuwa ni Mkatoliki, na Dr. ni Mkatoliki, mtagawana kura za bara ila Zanzibar CCM ndio watavuna!. Mkimpitisha ZZK, CUF haitasimamisha mgombea urais kufuatia ukaribu wa ZZK na Jussa, hivyo kura zote za bara za wale jamaa zetu, mtavuna na kura za Zanzibar pia mtavuna na mtatangazwa washindi!.
Kama mtasimamisa mgombea ambaye nyinyi Chadema ndio mnamkubali sana, tegemeeni kuchaguliwa na wanachadema tuu lakini mkimsimamisha mgombea anayekubalika zaidi kwa wapiga kura wa 2015 ambao 80% ni vijana, then the one and only anaweza kuwapatia ushindi mnene na mnono, ni ZZK pekee!.
The choice is yours, sisi wengine kazi ni kusema tuu!.
Pasco.
Dieufem, karibu jf.Habari Taifa stars, CDM imeishika pabaya CCM kupitia operetion yake safisha kinondoni baada ya mkutano mkuu wa jimbo, mbele ya katibu mkuu ndg Dr Slaa kuuondoa uongozi wa awali na k uweka kikosi cha mauaji kwa CCM
Viva CDM, Viva M4C
Nilidhani tumaini jipya ni Chadema!, kumbe ni watu!, endeleeni kuabudu watu!. Hakuna ubishi kuwa Dr. amefanya kazi nzuri sana uchaguzi wa 2010 na anaendelea kufanya kazi nzuri sana ya kujenga chama kupitia M4C.Hatutaki nadhari bali Dr.Slaa ni ndio tumaini jipya full stop.
Kwenye payroll bado nipo na vibahasha kama kawa, ila pia nimeishaijua jf, mtu ataongea point pale tuu anapoisifia Chadema!, akiikosoa inakuwa ni pumba, katumwa, gamba etc!.
Merry X-mass
Pasco.
Mkuu Molemo, kwa Kawe mtakuwa mmefanya vema, ila kwenye kete ya urais kazi bado mnayo!. Kwanza nilizungumza naye (off the record), hivyo msimamo wake binafsi naujua!. Msimamo binafsi ni tofauti na matakwa ya Chama!.
Kwa political dynamics za 2015, chances yoyote ya mgombea huyo kushinda, determinant ni mgombea wa CCM, hivyo endeleeni kusali, CCM isimamishe weak candidate, ikisimamisha strong candidate, you are dead!.
Uchaguzi wa 2015 chini ya Katiba Mpya, mshindi wa urais anapatikana sio tuu kwa simple majority, bali kwa quota system yaanini lazima ushinde kwa theluthi moja ya kura kutoka pande zote za muungano!. Kwa mgombea huyo, sioni jinsi yoyote ya Chadema kuvuna theluthi moja ya kura za urais kutoka Zanzibar!. Hivyo mtaongoza bara, kwa kukosa Zanzibar, CCM mwenye theluthi kote ndio atatangazwa mshindi!.
Kuna uwezekano mkubwa mgombea wa CCM kuwa ni Mkatoliki, na Dr. ni Mkatoliki, mtagawana kura za bara ila Zanzibar CCM ndio watavuna!. Mkimpitisha ZZK, CUF haitasimamisha mgombea urais kufuatia ukaribu wa ZZK na Jussa, hivyo kura zote za bara za wale jamaa zetu, mtavuna na kura za Zanzibar pia mtavuna na mtatangazwa washindi!.
Kama mtasimamisa mgombea ambaye nyinyi Chadema ndio mnamkubali sana, tegemeeni kuchaguliwa na wanachadema tuu lakini mkimsimamisha mgombea anayekubalika zaidi kwa wapiga kura wa 2015 ambao 80% ni vijana, then the one and only anaweza kuwapatia ushindi mnene na mnono, ni ZZK pekee!.
The choice is yours, sisi wengine kazi ni kusema tuu!.
Pasco.
Kwa hapa mkuu Pasco nitakuunga mkono,ila kwa Jimbo la Kawe bado Halima Mdee ana nguvu kubwa.
Mkuu kwani unasema kinondoni bado?Ubungo sawa lakini jimbo la Kinondoni bado
Mkuu Molemo, kwa Kawe mtakuwa mmefanya vema, ila kwenye kete ya urais kazi bado mnayo!. Kwanza nilizungumza naye (off the record), hivyo msimamo wake binafsi naujua!. Msimamo binafsi ni tofauti na matakwa ya Chama!.
Kwa political dynamics za 2015, chances yoyote ya mgombea huyo kushinda, determinant ni mgombea wa CCM, hivyo endeleeni kusali, CCM isimamishe weak candidate, ikisimamisha strong candidate, you are dead!.
Uchaguzi wa 2015 chini ya Katiba Mpya, mshindi wa urais anapatikana sio tuu kwa simple majority, bali kwa quota system yaanini lazima ushinde kwa theluthi moja ya kura kutoka pande zote za muungano!. Kwa mgombea huyo, sioni jinsi yoyote ya Chadema kuvuna theluthi moja ya kura za urais kutoka Zanzibar!. Hivyo mtaongoza bara, kwa kukosa Zanzibar, CCM mwenye theluthi kote ndio atatangazwa mshindi!.
Kuna uwezekano mkubwa mgombea wa CCM kuwa ni Mkatoliki, na Dr. ni Mkatoliki, mtagawana kura za bara ila Zanzibar CCM ndio watavuna!. Mkimpitisha ZZK, CUF haitasimamisha mgombea urais kufuatia ukaribu wa ZZK na Jussa, hivyo kura zote za bara za wale jamaa zetu, mtavuna na kura za Zanzibar pia mtavuna na mtatangazwa washindi!.
Kama mtasimamisa mgombea ambaye nyinyi Chadema ndio mnamkubali sana, tegemeeni kuchaguliwa na wanachadema tuu lakini mkimsimamisha mgombea anayekubalika zaidi kwa wapiga kura wa 2015 ambao 80% ni vijana, then the one and only anaweza kuwapatia ushindi mnene na mnono, ni ZZK pekee!.
The choice is yours, sisi wengine kazi ni kusema tuu!.
Pasco.
Haya na tusubirie pachimbike!, sisi yetu macho!.Unataka kusema Dr Slaa akipata kura Milioni 7 asitangazwe Rais kisa hajapata theluthi mbili Zanzibar? Narudia tena Patachimbika.
Haya na tusubirie pachimbike!, sisi yetu macho!.
P.
Mkuu mpepo,Pasco mimi naona ww ni wasomi na tena ww ni mwanasheria kijana sasa mtazamo wako wa kura za udini unatoa wapi? mm kwetu mbeya kimkoa 2010 kikwete alishinda kwa 58% japo wakristo 94% ya wakazi. mimi na wewe tunapaswa kupiga vita sana uchaguzi kwa misingi ya udini ndgu yangu itafika wakati mtu hataangaliwa kwa uwezo wake bali kwa dini yake. KAMA Dr anavyoangaliwa.
Mhindijohn,intimidation !!!!!
naona sio wakati muafaka kwa watz kuanza au kuendelea kuzungumzia maswala ya ugombea kwa minajili ya kidini au kikanda maana inaonyesha kunasumu yakueneza mambo haya inazidi kuenezwa ikizingatiwa kwamba 69.9% ya wananchi hawajui kuchambua taarifa kama ni zakiupotoshaji au la ! hivyo nivyema watu waelemishwe juu ya hili hasa serikali zikifuatiwa na taasisi nyingine ,ili kuepusha kusemwa mengi kuhusu ugombea ,wagombea na sera watakazokuja nazo 2015
itakuwa vyema sana!! kuliko kuja na rumors kwenye social media zakutugawa!
Kwa hapa mkuu Pasco nitakuunga mkono,ila kwa Jimbo la Kawe bado Halima Mdee ana nguvu kubwa.
Kumbe wameshatuandalia katiba mpya!Mkuu Molemo, kwa Kawe mtakuwa mmefanya vema, ila kwenye kete ya urais kazi bado mnayo!. Kwanza nilizungumza naye (off the record), hivyo msimamo wake binafsi naujua!. Msimamo binafsi ni tofauti na matakwa ya Chama!.
Kwa political dynamics za 2015, chances yoyote ya mgombea huyo kushinda, determinant ni mgombea wa CCM, hivyo endeleeni kusali, CCM isimamishe weak candidate, ikisimamisha strong candidate, you are dead!.
Uchaguzi wa 2015 chini ya Katiba Mpya, mshindi wa urais anapatikana sio tuu kwa simple majority, bali kwa quota system yaanini lazima ushinde kwa theluthi moja ya kura kutoka pande zote za muungano!. Kwa mgombea huyo, sioni jinsi yoyote ya Chadema kuvuna theluthi moja ya kura za urais kutoka Zanzibar!. Hivyo mtaongoza bara, kwa kukosa Zanzibar, CCM mwenye theluthi kote ndio atatangazwa mshindi!.
Kuna uwezekano mkubwa mgombea wa CCM kuwa ni Mkatoliki, na Dr. ni Mkatoliki, mtagawana kura za bara ila Zanzibar CCM ndio watavuna!. Mkimpitisha ZZK, CUF haitasimamisha mgombea urais kufuatia ukaribu wa ZZK na Jussa, hivyo kura zote za bara za wale jamaa zetu, mtavuna na kura za Zanzibar pia mtavuna na mtatangazwa washindi!.
Kama mtasimamisa mgombea ambaye nyinyi Chadema ndio mnamkubali sana, tegemeeni kuchaguliwa na wanachadema tuu lakini mkimsimamisha mgombea anayekubalika zaidi kwa wapiga kura wa 2015 ambao 80% ni vijana, then the one and only anaweza kuwapatia ushindi mnene na mnono, ni ZZK pekee!.
The choice is yours, sisi wengine kazi ni kusema tuu!.
Pasco.
Mkuu Pasco, naona siku hizi unapiga 50/50 , nusu CHADEMA nusu CCM. Naona umeona mbali maana Lowasa ndoto zake zinazidi kupotea, hasa baada ya Mangula kuingia timu ya waamuzi!Mkuu Molemo,
Taarifa za chini chini zimeshaanza kuenea kuwa mnataka kulitoa Kawe sadaka kama mlivyolitoa sadaka Tarime kwa kumuengua Charles Mwera?!.
Sio siri, hata wale posible candidates wanaounga mkono upinzani, hawathubutu kabisa kuliwazia jimbo la Kawe kwa sababu, Halima Mdee ni kama Komandoo!, hata kitendo cha Mbatia kutia pua was a mistake na aliijutia. Nilimshauri Dr, kwa ajili ya 2015, msisubiri kipenga cha NEC, anzeni ground work mapema ya head hunting posible serious candidates hata ikibidi ku groom, fanyeni grooming!. Muhakikishe mnaanza na uchaguzi wa serikali za mitaa 2014, simamisheni mtu kila kiti!. Kuna sehemu CCM imechokwa mpaka basi kiasi kwamba hata mkisimamisha jiwe litapita!.
Ila uchaguzi wa 3015 utakuwa mgumu kidogo kwa upande wenu, wenzenu CCM watasimama na track record ya visible developments wakati nyinyi mtasimama na ahadi za tumaini jipya!. Ahadi hizo lazima ziwe solid with justification: mfano mkisema Elimu bure mpaka chuo kikuu, mnakuja na data how much does it cost, na indication budget hiyo itotoka wapi au mpunguza matumizi gani that will save this much tutakayo itumia kwenye elimu bure etc!.
Merry X-mass
Pasco.