When those happened?Kamati nzima ya utendaji na imeundwa Task Force
Jimbo la Kinondoni ni weak point kwa CCM, hivyo 2015, Chadema inayo nafasi kulitwaa kiulani!. Ilala bado ni ngome ya CCM, Temeke na Kigamboni CUF ikijiimarisha inayakomba. Kawe ni hatihati linaweza kurejeshwa CCM. Ubungo kwa Mnyika ni ngome imara ya Chadema, Ukonga pia inaweza kuchukuliwa kiulaini!.
Tatizo la ndugu Chadema ni digo tuu "kujipanga!".
Pasco.
Kwa hapa mkuu Pasco nitakuunga mkono,ila kwa Jimbo la Kawe bado Halima Mdee ana nguvu kubwa.
Jimbo la Kinondoni ni weak
point kwa CCM, hivyo 2015, Chadema inayo nafasi kulitwaa kiulani!. Ilala
bado ni ngome ya CCM, Temeke na Kigamboni CUF ikijiimarisha inayakomba.
Kawe ni hatihati linaweza kurejeshwa CCM. Ubungo kwa Mnyika ni ngome
imara ya Chadema, Ukonga pia inaweza kuchukuliwa kiulaini!.
Tatizo la ndugu Chadema ni digo tuu "kujipanga!".
Pasco.
Jimbo la Kinondoni ni weak
point kwa CCM, hivyo 2015, Chadema inayo nafasi kulitwaa kiulani!. Ilala
bado ni ngome ya CCM, Temeke na Kigamboni CUF ikijiimarisha inayakomba.
Kawe ni hatihati linaweza kurejeshwa CCM. Ubungo kwa Mnyika ni ngome
imara ya Chadema, Ukonga pia inaweza kuchukuliwa kiulaini!.
Tatizo la ndugu Chadema ni digo tuu "kujipanga!".
Pasco.
Kwenye payroll bado nipo na vibahasha kama kawa, ila pia nimeishaijua jf, mtu ataongea point pale tuu anapoisifia Chadema!, akiikosoa inakuwa ni pumba, katumwa, gamba etc!.Mzee wa vibahasha siku hizi umeanza kuongea point, au Eddo amekutoa kwenya payroll yake?
Mkuu Molemo,
Taarifa za chini chini zimeshaanza kuenea kuwa mnataka kulitoa Kawe sadaka kama mlivyolitoa sadaka Tarime kwa kumuengua Charles Mwera?!.
Sio siri, hata wale posible candidates wanaounga mkono upinzani, hawathubutu kabisa kuliwazia jimbo la Kawe kwa sababu, Halima Mdee ni kama Komandoo!, hata kitendo cha Mbatia kutia pua was a mistake na aliijutia. Nilimshauri Dr, kwa ajili ya 2015, msisubiri kipenga cha NEC, anzeni ground work mapema ya head hunting posible serious candidates hata ikibidi ku groom, fanyeni grooming!. Muhakikishe mnaanza na uchaguzi wa serikali za mitaa 2014, simamisheni mtu kila kiti!. Kuna sehemu CCM imechokwa mpaka basi kiasi kwamba hata mkisimamisha jiwe litapita!.
Ila uchaguzi wa 3015 utakuwa mgumu kidogo kwa upande wenu, wenzenu CCM watasimama na track record ya visible developments wakati nyinyi mtasimama na ahadi za tumaini jipya!. Ahadi hizo lazima ziwe solid with justification: mfano mkisema Elimu bure mpaka chuo kikuu, mnakuja na data how much does it cost, na indication budget hiyo itotoka wapi au mpunguza matumizi gani that will save this much tutakayo itumia kwenye elimu bure etc!.
Merry X-mass
Pasco.
Kinondoni, mbona Azan anamsukuma kama unasukuma mlevi!. Hata mimi ningekuwa Chadema nikasimama Kinondoni, CCM Chali!.Ubungo sawa lakini jimbo la Kinondoni bado
sio jf tu hata mtaani ni hivi hiviKwenye payroll bado nipo na vibahasha kama kawa, ila pia nimeishaijua jf, mtu ataongea point pale tuu anapoisifia Chadema!, akiikosoa inakuwa ni pumba, katumwa, gamba etc!.
Merry X-mass
Pasco.