CHADEMA yaisambaratisha CCM Ngorongoro

CHADEMA yaisambaratisha CCM Ngorongoro

mwenye imani kuwa ccm bado ina wafuasi ni nape na mkama.............hata kikwete anajua ccm saaizi haina mwanachama hata mmoja...waliopo ni kwa ajili ya kuendelea kukwapua mihela kwa njia za kifisadi,,.....
cuf3.jpg
Kweli wameisha juzi hawa ndiyo walio mpokea hapo Tanga akienda mbeya anapokelewa kwa mawe..Arusha huwa anakuja kwa visa...tena usiku usiku kama popo..............hahahahahahahahahaahah
 
Acha I uongo, huyu mchungaji ALIKOSHWA watu huko ngorongoro, ALIKUTANANA na Watu WASIZIZI 12 na kufungua tawi sasa wanachama 800 walikuwa wapi? KIMBE mengi yanayoandikwa katika forum hii ni uongo. Huko Arusha ole Millya aliwadanganya Chadema kuwa Ana vijana 600 wa kimasai wako tayari kumfuata mpaka leo hakuna hata kijana moja aliemfuata. Bananga nae akaenda na ahadi ya kufuatwa na kundi la vijana 30 hakuna aliemfuata Ambako huko peke yake.. Chadema WALIVYOIA na kiherehere wangepata wanachama 800 nGORONGORO wangeonyesha picha. Kwa hili wanasema uongo kabisa aibu.

Hapo nilipoweka herufi kubwa!!! Sidhani kama wewe ni Mtanzania!!! Otherwise kajifunze kuandika, hili ni jukwaa la wakubwa, wewe mtoto kachambe uvae kaptula!!
 
quote_icon.png
By Mwita Maranya
Nape hajaikimbia JF, anaingia sana ila kwa ID nyewngine. Hata hivyo ana VIBARUA wa kutosha hapa JF wanaompelekea ripoti ya yanayojiri hapa JF kila siku.

Hapo kwenye capital letters, wapo kina Rejao, Ritz1, Topical, nk!

Mkuu kuna mmoja huyo anaitwa Ribosome.. Kiboko huyo.. Yaani toka 11th February 2012 amesha-post mara 1,518..! ID ina ciku 82 tu.. lakini posts ni hizo 1,518..! Ukigawanya utapata average ya posts/comments 18.5 kwa ciku..! Imagine kumwaga pumba 18 per day.. Huku ukijua kama ni pumba..! Mpaka Ritz1 anatishika anaweza pigwa chini na Nape..
 
Taarifa nilizo zipata muda si mrefu ni kuwa taasisi mbili za CCM zitakufa kabisa baada ya mkutano wa Jumamosi utakao fanyika NMC kwani kuna viongozi wengi sana kutoka UVCCM na umoja wa wanawake CCM kuhamia CHADEMA....tunasubiri tamko la nape aseme alikuwa na mpango wa kuwafukuza...

Mkuu Crashwise
Jumamosi kutakuwa na mkutano NMC? Na ni nani watahutubia?
 
Mkuu kuna mmoja huyo anaitwa Ribosome.. Kiboko huyo.. Yaani toka 11th February 2012 amesha-post mara 1,518..! ID ina ciku 82 tu.. lakini posts ni hizo 1,518..! Ukigawanya utapata average ya posts/comments 18.5 kwa ciku..! Imagine kumwaga pumba 18 per day.. Huku ukijua kama ni pumba..! Mpaka Ritz1 anatishika anaweza pigwa chini na Nape..

Mkuu nasikia huyo Ribosome ndiye alimfanyia fitina Molemo mpaka akapigwa BAN.Naona ni mojawapo ya kazi alizotumwa.
 
Wataonyesha tu walokopeleka TV nchi 21, M4C mwanzo mwisho mpaka kieleweke.
 
kazi ya nape ni kubisha na si kujadili ndo maana hawezi kukaa kwenye hii sebule ya jf, mwache abaki hukohuko fb
 
Aluta Cont.......!!!!!!!! Viva M4C & CDM!!!! Kita punje ivunwayo ina thamani, hata MCCM moja ni sawa na mateka ktk vita. Katika VITA ya UKOMBOZI ni muhimu ktk kubandua MAGAMBA. Bandu bandu.......
Kama hajui NGUVU YA UMA wa ulize Senegal Urusi na majirani zetu Kenya
 
Aluta Cont.......!!!!!!!! Viva M4C & CDM!!!! Kita punje ivunwayo ina thamani, hata MCCM moja ni sawa na mateka ktk vita. Katika VITA ya UKOMBOZI ni muhimu ktk kubandua MAGAMBA. Bandu bandu.......
Kama hajui NGUVU YA UMA wa ulize Senegal Urusi na majirani zetu Kenya

Ujumbe umetulia sana huu mkuu
 
Magamba hayo lazima yavuke. Vijitu 800 katika wilaya ya watu millioni 4 ni kama ushuzi wa ngomani, upo lakini haunusiki.!
Ni takwimu za mwaka gani zinazoonyesha kuwa kuna wilaya ya watu milioni 4?
 
Nape kama publicity master anatakiwa angalau abuni operations zitakazorudisha matumaini. Unajua watu sasa wameelimika zamani ilitosha kutoa tamko toka Lumumba kwenye RTD na watu wakafuata siku hizi ni tofauti kabisa. Mfano kama CDM wameanzisha M4C wao CCM wanaweza kubuni Operation Mapinduzi Daima OMD ni mfano tu wakaipeleka mikoani, sijui wanashindwa nini wakati funds kwao si tatizo.

Mkuu Feedback,

CCM si wamoja tena, within CCM kuna makundi mengi na within makundi kuna vijikundi. Kwa hiyo hawawezi kuwa na operation inayokubalika na makundi yote. Mwenyekiti wao ameshindwa ku-diffuse tension kati ya makundi na sasa kijana Nape amebaki njia panda maana hajui afanye nini.

Operation Vua Gamba ilimpandisha chart mpaka JK akampa shavu, kwamba kile anachokisema huko mikoani ni maagizo ya chama na yana baraka za JK. Wananchi wamesubiri utekelezaji, hakuna kitu. Papaa EL na Sumaye walipokuja kuhoji kwenye NEC, JK akawa kimya na kuahidi kumchunguza na kumchukulia hatua iwapo kauli zake zilimchafua EL. Hapo hapo JK anasahau kwamba kwenye Tamasha la Pasaka mwaka jana alisema kijana ana baraka za chama na JK mwenyewe.

Unaweza kuwa na resources lakini huna msg ya kwenda kuwaambia wananchi, sana sana unaweza kuishia kuzomewa na wananchi wenye hasira kali. Publicity ni rahisi sana iwapo wote ndani ya chama wana nia ya dhati ya kushughulikia kero za wananchi. Zama za propaganda zimeishapitwa maana wananchi wanaona kwenye TV, kusoma magazetini na kusikiliza radio. Kwa hiyo nafasi ya kuwadanganya wananchi haipo tena ... na hapo ndipo Mukama na Timu wanapotokwa povu kupindua na kupindisha kauli ambazo walishawahi kuzitoa huko nyuma.
 
Last edited by a moderator:
Magamba hayo lazima yavuke. Vijitu 800 katika wilaya ya watu millioni 4 ni kama ushuzi wa ngomani, upo lakini haunusiki.!

JF ni sehemu ya kuelimishana. Unapodanganya wanaJF kuwa Ngorongoro ina watu milioni 4 unapata faida gani? Enzi za kudanganya watu zimepita. Tutofautiane kifikra na kisiasa lakini tusiwe waongo kiasi ulichoonyesha.
 
Magamba hayo lazima yavuke. Vijitu 800 katika wilaya ya watu millioni 4 ni kama ushuzi wa ngomani, upo lakini haunusiki.!

Waliopiga kura mwaka 2010 walikuwa milioni 8 Tanzania nzima (Bara na Visiwani). Kuna wabunge wa CCM walioshinda kwa tofauti ya kura 200 au pungufu. Kura moja ina maana na uzito mkubwa sana kwa mgombea makini. Uchaguzi wa 2015 unaweza kuwa na ushindani mkali sana ambao haujawahi kutokea. Endelea kutumia lugha ya kejeri huku jahazi likizama taratibu.
 
Hivi huyu NAPE ni nani hadi anatukuzwa...mkimtajataja anapata kiburi..Katibu mwenezi wa nini, kama mlikuwa hamjui kuwa yeye ndio anshirikiana na JK kuimaliza CCM. Kama Mikhail Gorbachev mwaka 1991 alivyoisambaratisha USSR.

Hivi anayafahamu vizuri majukumu ya katibu mwenezi?.....ok kwao CCM yeye ni bora ila kwetu ni kama "Mwenda Zake"
 
Back
Top Bottom