Sema Chilo
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 324
- 24
Sawa but M4C Mtwara/Lindi lini jamani?
Tatizo la CCM hawaoni kuwa wananchi wamebadilika siyo tena wa wakuongozwa kwa matamko toka Lumumba kama enzi za Makamba na Tambwe. Secretary wa Ideology and Publicity Nape badala ya kutafuta strategy ya ku-counterattack yeye anazidi kubishana na watu tu FB. Anyway ngoja tuone inawezekana chama kina mbinu zake za kisasa za kupambana na hii hali, lakini ninachotaka kumwambia ni kwamba kama anapita humu JF, he and his party should take this as a serious note.
Sawa but M4C Mtwara/Lindi lini jamani?
Acha I uongo, huyu mchungaji alikoshwa Watu huko ngorongoro, alikutanana na Watu wasizizi 12 na kufungua tawi sasa wanachama 800 walikuwa wapi? Kimbe mengi yanayoandikwa katika forum hii ni uongo. Huko Arusha ole Millya aliwadanganya Chadema kuwa Ana vijana 600 wa kimasai wako tayari kumfuata mpaka leo hakuna hata kijana moja aliemfuata. Bananga nae akaenda na ahadi ya kufuatwa na kundi la vijana 30 hakuna aliemfuata Ambako huko peke yake.. Chadema walivyoi na kiherehere wangepata wanachama 800 ngorongoro wangeonyesha picha. Kwa hili wanasema uongo kabisa aibu.
Unaonekana wewe umetumwa na sisiem, halafu kajifunze kiswahili kwanza, then ndiyo uje upost pumba zako humu.Acha I uongo, huyu mchungaji alikoshwa Watu huko ngorongoro, alikutanana na Watu wasizizi 12 na kufungua tawi sasa wanachama 800 walikuwa wapi? Kimbe mengi yanayoandikwa katika forum hii ni uongo. Huko Arusha ole Millya aliwadanganya Chadema kuwa Ana vijana 600 wa kimasai wako tayari kumfuata mpaka leo hakuna hata kijana moja aliemfuata. Bananga nae akaenda na ahadi ya kufuatwa na kundi la vijana 30 hakuna aliemfuata Ambako huko peke yake.. Chadema walivyoi na kiherehere wangepata wanachama 800 ngorongoro wangeonyesha picha. Kwa hili wanasema uongo kabisa aibu.
Majitu kama haya I wish kama ningekusaba kibao wewe, halafu nipo karibu na wewe angalia sana.Acha I uongo, huyu mchungaji alikoshwa Watu huko ngorongoro, alikutanana na Watu wasizizi 12 na kufungua tawi sasa wanachama 800 walikuwa wapi? Kimbe mengi yanayoandikwa katika forum hii ni uongo. Huko Arusha ole Millya aliwadanganya Chadema kuwa Ana vijana 600 wa kimasai wako tayari kumfuata mpaka leo hakuna hata kijana moja aliemfuata. Bananga nae akaenda na ahadi ya kufuatwa na kundi la vijana 30 hakuna aliemfuata Ambako huko peke yake.. Chadema walivyoi na kiherehere wangepata wanachama 800 ngorongoro wangeonyesha picha. Kwa hili wanasema uongo kabisa aibu.
Nape hajaikimbia JF, anaingia sana ila kwa ID nyewngine. Hata hivyo ana VIBARUA wa kutosha hapa JF wanaompelekea ripoti ya yanayojiri hapa JF kila siku.
hakuna watu milioni nne ngorongoro!!! Kulingana na sensa ya watu na makaazi ya mwaka 2002, ngorongoro kulikuwa na jumla ya watu 168,000 tu, annual growth rate ni 4.5%, je wamefika milioni nne??magamba hayo yaliziama yavuke. Vijitu 800 katika wilaya ya watu millioni 4 ni kama ushuzi wa ngomani, upo lakini haunusiki.!
Mkuu una maneno machafu sana.Nisije nikakujibu ukanisababishia BAN kama ulivyomsababishia MOLEMO
hakuna watu milioni nne ngorongoro!!! Kulingana na sensa ya watu na makaazi ya mwaka 2002, ngorongoro kulikuwa na jumla ya watu 168,000 tu, annual growth rate ni 4.5%, je wamefika milioni nne??
Pipooooozzzzz mpaka kieleweke
Magamba hayo lazima yavuke. Vijitu 800 katika wilaya ya watu millioni 4 ni kama ushuzi wa ngomani, upo lakini haunusiki.!
Magamba hayo lazima yavuke. Vijitu 800 katika wilaya ya watu millioni 4 ni kama ushuzi wa ngomani, upo lakini haunusiki.!
Kama hodari jibu tu.
Kama hakuna million 4 basi juwa kuwa hakuna 800 waliojivua gamba! Simpo. Ngojeni idadi ya watu itapofika million 4 mjaribu bahati yenu.