1. Unatumia lugha ya matusi na maudhi...ustaarabu unatakiwa humu
2. Kama kwenye umri huu hujui kuwa si Ngorongoro tu, ila hakuna wilaya Tanzania yenye watu milioni 4,hustahili kuandika kwenye JF
3. Kwamba CDM imeisambaratisha CCM Ngorongoro au la ni suala ambalo wakati utatoa majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.