Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mkuu usimsumbue huyo ana mimba ya mbwa
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Last edited by a moderator:
Kyela ipi wanayompenda mwaktembe wewe kijana, acha kutufanya mazuzu watu wa kyela ci tushajitambua kitambo,. Mwakyembe ashawai fukuzwa stend askanyage sasa we umetoa wapi upotoshwaji huu
simiyu una kazi nzito ya kupambana na kuitetea chama cha majambazi!!! Hivi UNAFANYA KAZI KWELI!
CHADEMA kwao hata mbuzi wa mwanaccm wakienda kwenye zizi la mwanachadema wanasema CCM imebomoka ni watu wa ajabu sana.
Sasa ivi unajadili katiba mpya unafikiri ilitoka kwenye ilan ya chama gan? Magamba wanaweza kua na mtazamo wa namna iyo that's y tunawashauli wajiandae kuwa shupav ili watoe constructive ideaWajifunze kuandamana au kupigana bungeni sikuelewi make chadema wanaongoza kwa mambo machafu sasa nani ajifunze mambo machafu toka kwao.
Chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA kimeibomoa vibaya ngome ya waziri wa Uchukuzi Harisson Mwakyembe jimboni kwake Kyela.
Hali hiyo imetokea baada ya mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya Juma Mwalunga kujiunga na CHADEMA na kulaani CCM kwamba ni chama kilichochoka na kinapaswa kuondolewa madarakani mara moja.
Kiongozi huyo alikuwa ni nguzo kuu ya CCM jimboni Kyela na ndiye aliongoza kampeni za CCM jimboni humo.
Wanachama kadhaa wa CCM waliohojiwa kuhusu uamuzi huo wameshtushwa na kusema ni wazi CCM itazikwa Kyela.
Source:Tanzania Daima.
Anafanya kazi lakini customer care, halafu hakuna foleni za wateja ndo maana muda mwingi yupo Lumumba
Wewe twende polepole unaharaka kama unaoga nje,
umesema ccm imechoka lakini ccm inamiaka 50 lakini slaa anaumri mara mbili ya ule wa ccm hapa na kachoka na anapaswa kuondolewa?
Kwani mjumbe wa nec akiondoka ndiyo ccm imekufa akili yako kama ya lisu mkuu full kuropoka.
Wajifunze kuandamana au kupigana bungeni sikuelewi make chadema wanaongoza kwa mambo machafu sasa nani ajifunze mambo machafu toka kwao.
Kusanyeni tu masalia ila mjue mvua itawanyea tu hata pakutokea hamtapata.
Haraka haraka haina baraka mkuu.
CHADEMA kwao hata mbuzi wa mwanaccm wakienda kwenye zizi la mwanachadema wanasema CCM imebomoka ni watu wa ajabu sana.
Hizo ni ndoto za mchana wewe ukitaka kujua kuwa mwakyembe mtambo katie mguu kyela uone kiama chako kitakavyokuwa kikubwa.
Kwa nini mliovurugwa hamjifichi hasa wale wa kutokea bavicha.
Asiyekupenda mpende.
kumbe source ni Tanzania Daima?
Mkuu usimsumbue huyo ana mimba ya mbwa
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Katika Page moja wamepost watu 14 lakini wewe umepost 8 na zote hakuna hata kimoja chenye maana, sijui kama akili zako zimekaa vizuri na hii inathibitisha kuishabikia CCM lazima uwe na akili kama za Maiti na hili linajithibitisha kupitia kwako.
Wewe twende polepole unaharaka kama unaoga nje,
umesema ccm imechoka lakini ccm inamiaka 50 lakini slaa anaumri mara mbili ya ule wa ccm hapa na kachoka na anapaswa kuondolewa?
Kwani mjumbe wa nec akiondoka ndiyo ccm imekufa akili yako kama ya lisu mkuu full kuropoka.
Kusanyeni tu masalia ila mjue mvua itawanyea tu hata pakutokea hamtapata.
Hapa kwetu kyela neno CCM ni tusi kubwa sana huhitajiki utaje hadharani hata bibi angu pale Bujonde, mjomba pale Katumba Songwe hawalitamki tena,. Mwakyembe hapa analijua hilo
Hizo ni ndoto za mchana wewe ukitaka kujua kuwa mwakyembe mtambo katie mguu kyela uone kiama chako kitakavyokuwa kikubwa.
Kyela ipi? We Kyela unaijua? au unaisikia tu redioni.... Nenda kamtukane Mwakyembe Ikolo, au Ipinda, tuone kama ujarudi na ngeu! We utakuwa mtu wa mbugani tu; huko kungine wala ata ujaenda.
hadithi za pwagu na pwaguzi, ata tahaira ukimwambia ataanza kucheka, ulipokuwa unapost ulikuwa chooni or unakunywa chimpumu? kweli akili ndogo kazi sana.Chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA kimeibomoa vibaya ngome ya waziri wa Uchukuzi Harisson Mwakyembe jimboni kwake Kyela. Hali hiyo imetokea baada ya mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mbeya Juma Mwalunga kujiunga na CHADEMA na kulaani CCM kwamba ni chama kilichochoka na kinapaswa kuondolewa madarakani mara moja. Kiongozi huyo alikuwa ni nguzo kuu ya CCM jimboni Kyela na ndiye aliongoza kampeni za CCM jimboni humo. Wanachama kadhaa wa CCM waliohojiwa kuhusu uamuzi huo wameshtushwa na kusema ni wazi CCM itazikwa Kyela. Source:Tanzania Daima.
teh teh teh ata muhuni naye anashauri wenye akili timamu? acha uhuni wako. kiplateSasa ivi unajadili katiba mpya unafikiri ilitoka kwenye ilan ya chama gan? Magamba wanaweza kua na mtazamo wa namna iyo that's y tunawashauli wajiandae kuwa shupav ili watoe constructive idea